Vyuo vya kata ndio unatumiwa sms..
Vyuo vya kata ndio unatumiwa sms..
Wadau naombeni maelekezo,wanaposema privare sponsors students na HESLB students,wanamaanisha nn?
Wadau naombeni maelekezo,wanaposema privare sponsors students na HESLB students,wanamaanisha nn?
Congratulation from IFM.
You have been selected to join IFM for your Bachelor degree course. Registration will start on 16th September 2013 for privately sponsored students. For HESLB sponsored students Registration will open from 15th October 2013. For more information visit Home - The Institute of Finance Management or come to the admissions office at IFM.:argue:
Wewe kama sio chuo cha kata ungeweka first choice hapo..mbona uliweka 2nd choice??coz ulijua magumashi hapo..ila nawatakieni kila la kheri but hicho chuo rushwa nje nje na rafiki yangu amemaliza hapo kimagumashi tu maana alikua anajua kucheza na walimu..!!Nimeiona....it means mkopo utachelewa sana kutoka....halafu mtu ukisema IFM chuo cha kata ni kujidhalilisha,watu wanakuona kilaza.
Wewe kama sio chuo cha kata ungeweka first choice hapo..mbona uliweka 2nd choice??coz ulijua magumashi hapo..ila nawatakieni kila la kheri but hicho chuo rushwa nje nje na rafiki yangu amemaliza hapo kimagumashi tu maana alikua anajua kucheza na walimu..!!
Walimu wa ardhi hawana njaa..na hio kitu pale haipo kabisa kama hujui we uliza..utaanzaje kumuhonga dr au profesa??..usijidanganye ifm inajulikana kwa umagunashi..nendeni mkachukue magamba mrudi mtaani kusotea ajira..Hata ingekuwa chaguo la ngapi lakini na 13 yangu nilikuwa na wigo mpana tu wa kwenda vyuo vingi ambavyo we unadhani ndio vyuo....ila fact kubwa ni kwamba nilikipenda ndo maana nikaweka chaguo la pili,kama ni kuangalia title mbona mzumbe nimeweka chaguo la 4 huko??...ni kwa sababu ifm kwangu amongst best place when it comes to business studies....haya mambo ya rushwa na ngono yatakuja iwapo tu utayaentertain asee....hata uko ardhi ukitaka kuleta mchongo wa rushwa watu watakula pesa maisha yataenda utabeba cheti chako upige mwendo ila kichwaani ni empty set.....I KNOW WHAT I WANT,I KNOW WHAT I'M DOING
Vyuo vya kata ndio unatumiwa sms..
Kizazi cha fisadi,
Kula kulala na kujaza choo hujui maisha yakoje,
Kwa taarifa chuo/course is inverse proposional to employment.
Jipeni moyo ila mtajua kitaa mtakavyoanza kusaga lapa
Walimu wa ardhi hawana njaa..na hio kitu pale haipo kabisa kama hujui we uliza..utaanzaje kumuhonga dr au profesa??..usijidanganye ifm inajulikana kwa umagunashi..nendeni mkachukue magamba mrudi mtaani kusotea ajira..
Kwa maandishi tu napima uelewa wako....hii comment ya mwisho kwangu......kila la kheri uko ardhi
Ukweli unauma kwaheri..nenda IFM class watu 1500..sijui utagain kitu gani..