Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*HAKUNA MESSAGE NGUMU KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU KUJIBU KAMA "BABY NIKWAMBIE KITU"[emoji23][emoji23][emoji23]*
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu kwamfano nikimjibu, niambie.....*HAKUNA MESSAGE NGUMU KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU KUJIBU KAMA "BABY NIKWAMBIE KITU"[emoji23][emoji23][emoji23]*
Hiyo massage maridhawa, jibu lake ni moja tu Samahani battery yangu inakwisha charge na umeme umekatika kwetu nitakutafuta baadae kidogo.*HAKUNA MESSAGE NGUMU KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU KUJIBU KAMA "BABY NIKWAMBIE KITU"[emoji23][emoji23][emoji23]*
Kuna nguo nimeiona pale dukani kwa sinta..nimeipenda kweli baby..yaani hata wewe ukiniona nimevaa utanikubali..sasa nimepungukiwa tsh 50000 ili nikaichukue.naomba niongezee mi mwenyewe ninayo 5000Ebu kwamfano nikimjibu, niambie.....
Nini kitafuata...?
atasema lakini au basi. ili umlazimishe nambie tu. Kitachofuata baada ya hapo ni mzinga wa nguo ama nywele za sikukuuEbu kwamfano nikimjibu, niambie.....
Nini kitafuata...?
Kwani mimi ni mzazi wako....[emoji13] [emoji13] [emoji13]Kuna nguo nimeiona pale dukani kwa sinta..nimeipenda kweli baby..yaani hata wewe ukiniona nimevaa utanikubali..sasa nimepungukiwa tsh 50000 ili nikaichukue.naomba niongezee mi mwenyewe ninayo 5000
Kwanza akisha sema au basi, nami namjibu sawaatasema lakini au basi. ili umlazimishe nambie tu. Kitachofuata baada ya hapo na mzinga wa nguo ama nywele za sikukuu
Mbona simple tu. Unamjibu "niambie then nami nitakuambia kitu"*HAKUNA MESSAGE NGUMU KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU KUJIBU KAMA "BABY NIKWAMBIE KITU"[emoji23][emoji23][emoji23]*
Naomba hela ya saluni na kinywajiEbu kwamfano nikimjibu, niambie.....
Nini kitafuata...?
Hahahaha!. Nimecheka sana Mkuu.atasema lakini au basi. ili umlazimishe nambie tu. Kitachofuata baada ya hapo na mzinga wa nguo ama nywele za sikukuu
🙄🙄🙄🙄🙄*HAKUNA MESSAGE NGUMU KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU KUJIBU KAMA "BABY NIKWAMBIE KITU"[emoji23][emoji23][emoji23]*
Hyo sio ngumu mkuu...*HAKUNA MESSAGE NGUMU KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU KUJIBU KAMA "BABY NIKWAMBIE KITU"[emoji23][emoji23][emoji23]*