KhaaaaSiwezi kuwaacha sababu niko naona unamwaribu dada angu
Bora umekuja shem jamani usitutesee ndugu yetu hili ndio la muhimuKamati imejipanga si mchezo hapa, naona point za CAG zinapanguliwa si kawaida
HahahaAkikulalia wafwaaaa dada
Ngoja nisubiri jibu mama mkweEti dada mm niko na mashavu jamani ebu nijibie kwa ba mkwe wangu
Kwahyo hutaki dada yako aliweNdiwoooo uko unamwaribu dada angu na mm sitaki kuona jamani
Sasa mbona humquote Inna jamani shemNa laaziz inna
OooohNa laaziz inna
Mh uliiona lini huyo ba mkwe ila mashavu sina jamaniAlafu rangi iyo iyo ya kwenye avatar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo naweza kukuuza mmAnatamani akamuite kibongee
Mbebez wako etiHahaha kibonge gani huyo?
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pangweni tu mm ndio mana akili zangu nazijua mwenyewe zikimituma nashusha thread ana list yake pm atajua mwenyewe na mabebez wake wa pm
Kukulwa tena?!Hahhahah watajua wenyewe na hasira zao za kukulwa kimya kimya mfyuuuuu
Kosa langu dada ni kutotaka upotee kwahiyo unaniona hater tenaKhaaaa
Ndo maana tunaishiaga pm yaani watu ka nyie hamkosekaniiiii
J........oHahaha kibonge gani huyo?
Juzi kati tu mama mkweMh uliiona lini huyo ba mkwe ila mashavu sina jamani
Mbebez wangu na Sakayo the one and onlyMbebez wako eti
Andamana uoneeNaanzaje kufanywa mbwa koko mie
Sio sitaki dada angu aliwe jamani sitaki ateswe nataka aliwe kwenye mikono salamaKwahyo hutaki dada yako aliwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hamna uwe na amaniJ........o