[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ndo hapo sasa,acha mie nijilie raha huku
Mkuuu mbona mie sipendi pilau na kachumbari,kachumbari inaleta minyoooUpendo wa dhati bila chura ni sawa na pilau bila kachumbari!![emoji20][emoji20][emoji20]
Sitaki kabisa shem, sitaki kusikia hizi drama kumbe viungo vyao vinapitia ukame wa miaka. Waende watafunane wafurahishe maungo yao.Nakazia shem sipendi bongo movie mie halafu dada angu amekumiss
NdiwoooWe si ndio uliniambia ako na mbebez jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upendo wa dhati bila chura ni sawa na pilau bila kachumbari!![emoji20][emoji20][emoji20]
T-shirtMh basi niliwekwa nilikuwa nimelala au aliwekwa mwingine alivaaje
Wooooooooooozeeeeeerrrrr mamaa wa list[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Kuleta minyoo ni maandalizi ovyo!!Mkuuu mbona mie sipendi pilau na kachumbari,kachumbari inaleta minyooo
Tumia pilau na rost
AiseeeSitaki kabisa shem, sitaki kusikia hizi drama kumbe viungo vyao vinapitia ukame wa miaka. Waende watafunane wafurahishe maungo yao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nia yngu ucheke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtekaji amempa nafasi apumue
Mm sijui jamani siko single mbebez wangu ananitoshaHaha kwani wanaoliwa wote wapo single
WoyoooooooooooHahaha
Nammiss sana jamani
HahahaWooooooooooozeeeeeerrrrr mamaa wa list
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa yetu yule Kwann afanyi haya mambo
Niko mie jamaniUnaenda wapi
Ndo utajua we endelea kuniharibia tuMm sijui jamani siko single mbebez wangu ananitosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yupi tena jamani
Tuacheee, shem sisi tunafurahia uumbaji ujuwe[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Wooooooooooozeeeeeerrrrr mamaa wa list