Wooooooozeeeeer nakazia tena shem sio waitane wapenzi tuu wanatuchosha kukulana hawakulani wakulane banaSitaki kabisa shem, sitaki kusikia hizi drama kumbe viungo vyao vinapitia ukame wa miaka. Waende watafunane wafurahishe maungo yao.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] me nakupenda tu
Sasa jeNdiwooo
Niliwaona wakibebishanaa
Meli yenu itafika salama kwa uwezo wa M/Mungu[i[We are still in the journey...
Woiiii tshirt na nn atakuwa aliwekwa mwingine jamani amejipiga selfie tshirt ya rangi ganiT-shirt
HahahaWoyooooooooooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaa mbona alisha fanya? ila upande mwingine.
Sasa shughuli inakuja ata anzaje upande wa pili?
Khaaaa wa gari ni kule kule anapatikana kule tuhuyu ndo yule wa gari
Sio nimeanza dada jamani si ndio ukweliHahaha
Umeanza eeh
Ni wewe kabisa rangi kama nyekundu iviWoiiii tshirt na nn atakuwa aliwekwa mwingine jamani amejipiga selfie tshirt ya rangi gani
Woyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo[emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]Watu wote piga keleleeeee
Braza Nakuaminia sana ujume muruaNi furaha iliyojaa moyoni mwangu, kila nikifikiria namna nilivyokupata kwani sikutarajia kama ndoto yangu ya kupata mwanamke anayenipenda kama wewe.
Upendo wangu kwako moneytalk hauna kifani, laiti ningekuwa na uwezo nifunue kifua changu uone jinsi gani moyo wangu ulivyo na furaha na upendo juu yako ila hilo haliwezekani isipokuwa maneno na matendo yangu kwako yatadhihirisha hilo.
Nimekupenda, ninakupenda, nitaendelea kukupenda daima kwani nikiangalia mashariki na magaharibi, kaskazini na kusini sioni mwenye upendo kama wewe.
Wewe ni lulu kwangu mwenye thamani kubwa moyoni mwangu, nakutunza moyoni mwangu uketi upate furaha, faraja na upendo.
I LOVE YOU moneytalk
HahahaTuacheee, shem sisi tunafurahia uumbaji ujuwe[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Hakunan namna jamani nipende tuuuu nipende tuuu nipende mm tuHahaha
Yaani wewe huwa inabidi nikupende tuu
SawaSasa je
We si tulikubaliana hauji huku?Mambo ni hiviii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mv mapenzi hiyoooo inang'oa nanga
Hapana aiseee huyo ni mwingine ndio mana akatolewa fasterNi wewe kabisa rangi kama nyekundu ivi