Message to my love Mwifwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeelewa sana na yeye kaelewa sana anajitoa ufahamu dada angu ako na list ndefu mpaka ananitisha hana tofauti na tumosa
Ila sakayo alijitahidi kutuficha jaman ndo tunastuka sasa hivi mambo yanazidi kupamba moto!na ile kuchekacheka hovyo alikuwa anakudanganya mwenzangu
 
Kwa maneno yako haya sitarajii kulala usingizi kabisa, nataka niwe na wewe nikuangalie tabasamu lako zuri lililojaa upendo kwangu.
Wooooooozeeeeer naomba picha mie ukiwa unakesha jamani khaaaa haya ni zaidi ya mahaba niue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…