Message to my love Mwifwa

Kila la kheri pesa-ongea..

Mlane salama.
 
Sijui mke wa anaeandikiwa akiuona ujumbe huu atajisikiaje....ndoa huvunjika hivi hivi iwapo dume ilikipewa ujumbe kama huu kutoka kwa mchepuko
 
Hongera zako moneytalk kwa kumpata mume wa moyo wako Mwifwa. Nawaombea mapenzi yenu yadumu daima, usisahau kumpa dozi ya kutosha usijekuibiwa na akina charminglady, masai dada, Hot Lady, etc. Dozi ya kutosha ndiyo itakayodumisha mapenzi yenu.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Ha ha ha ha anadanganywa uyo demu ameshasema 'nafurahia zaidi nikifanya mapenz na we kuliko yoyote' sasa kuna nini tena hapo? Ha ha ha ha ha he acha kujisifu ujinga mzee bibi
 
Sijui mke wa anaeandikiwa akiuona ujumbe huu atajisikiaje....ndoa huvunjika hivi hivi iwapo dume ilikipewa ujumbe kama huu kutoka kwa mchepuko
Mkuu haya mambo hayafanywi kwa kukurupuka bana
 
Ha ha ha ha anadanganywa uyo demu ameshasema 'nafurahia zaidi nikifanya mapenz na we kuliko yoyote' sasa kuna nini tena hapo? Ha ha ha ha ha he acha kujisifu ujinga mzee bibi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo ni mtazamo wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…