Sasa tukiziandika wasap au kwa sms chitchat itapoaaNimeuliza tu....mbona wewe na Shunie mnanikomalia nina wivu?
Wewe tayariii?Genta vipiMambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana wewe wa kutoniamini mm kuchunga mzigo lazima mama nyakunyaku kila sehemu[emoji23] [emoji23] [emoji23] abiria chunga mzigo wako
Natamani ungekuwepo muda huu, sasa hivi ninapokuangalia machoni naona njia ya ulimwengu ninayotaka niwepo
Walisema mapenzi haya hutokea mara moja lakini sikuamini mpaka muda nilipoona nimekupenda Mwifwa wangu!
Kama nimepata raha maishani mwangu ni kitu kimoja ningetaka kukibadilisha, ningekuwa nimekutana nawe tangu zamani. Mara zote unajua kunifanya nitabasamu hubby wangu hata wakati nimehuzunika.
Hakuna mwanaume duniani anayeweza kunielewa vizuri kama unavyonielewa wewe kipenzi changu, changuo langu mimi na mwanaume pekee wa maisha yangu, nahisi kukukumbatia kila wakati ninapoongea nawe,najisikia salama na amani ninapokuwa karibu yako. Nafurahia mapenzi yako zaidi kuliko mtu yoyote humu duniani, siwezi kufikiria maisha yangu bila wewe yatakuwaje, marafiki zangu wananionea gere kuwa na mwanaume kama wewe unayejua nini thamani ya mwanamke!
Sifahamu umeniwekaje moyoni mwako lakini ninafurahi umenifanya hivyo na matendo yangu pekee yanaweza kuonyesha nijinsi gani ninavyokupenda hubby wangu Mwifwa !Nitakupenda leo na hata kesho Ahera
Haya ngoja nijiondokee niwaache WASHIKA PEMBE!!! πππSasa tukiziandika wasap au kwa sms chitchat itapoaa
Tunakususaje kwa mfanoooo tupo sie halafu Mwifwa ole wako umuache ndugu yetu au kumuumiza kwa chochote kile kakupa moyo wake wote usimtese[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] najua hamuweza kunisusa
Niko na Davet mieWewe tayariii?Genta vipi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kauli yako pendwa ya washika pembeHaya ngoja nijiondokee niwaache WASHIKA PEMBE!!! πππ
Bora we wasea kuna wengine huwa wanatokwa mapovu tuLaiti ningepata ujumbe kama huu ningeinuka muda huuhuu nikatafute cha kumfaa mwanamke kama huyu jamaniii,kuna wanaume wana raha jamani daaah!
WoooooooooozeeeeerHongera sana moneytalk!! Mpendane na mkulane sasa maana hakuna namna
Washika pembe tupooHaya ngoja nijiondokee niwaache WASHIKA PEMBE!!! πππ
Weekend mood....![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kauli yako pendwa ya washika pembe
Embu mjibu muke ya muchawi na huyuNijibu wapi we babu ulikuwa wapiii sijakuona toka kipindi cha maandamano
Genta alizidiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko na Davet mie