luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 846
- 1,394
Mkuu pochi lishajaa mapema
Una akili sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS katika akaunti yako nambari: 0*****01
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714197700
[emoji4]
We fala hama mji utauliwa..🤣🤣🤣"We fala achana na mke wangu **** wewe...."
Hapa nilipo nawaza kuhama mji[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]Marinda yako hayapo sehemu salama sio?"We fala achana na mke wangu **** wewe...."
Hapa nilipo nawaza kuhama mji[emoji3]
Si uanze kunitumia hela ya matunzo basiiTwende kazi leo tujue kama text huwaga zinafananaga angalau kwa watu kadhaa ama kuna watu wanatumiwaga text za kipekee, kila mtu angalau aseme text yake ya mwisho kuingia kwenye simu inasemaje iwe kwenye message za kawaida au Whatsap ili mradi iwe ya mwisho tu
Mimi yangu inasema " i miss you "
KENZY hii si namba ya simu ya Diamond hii, yaani siku hizi hawa jamaa wa Free Mason wanagawa bure namba ya balozi wao?Freemasoni mna nini nami..🤣🤣
Kenge kabisa..
"TIMIZA NDOTO ZAKO JIUNGE NACHAMA CHA FREE MASONI 666 MILIKI MAGALI, NYUMBA, PESA, UMAALUFU, NA MAMENGINE MENGI ILIKUJIUNGA PIGA 0713912508 ASANTE"
Hawa freemasoni hawajui hata kiswahili fasaha hizo gari na nyumba zipo kweli au mimi ndo freemasoni wao ndo wateja..😅
tulio single haituhusu hii nyzTwende kazi leo tujue kama text huwaga zinafananaga angalau kwa watu kadhaa ama kuna watu wanatumiwaga text za kipekee, kila mtu angalau aseme text yake ya mwisho kuingia kwenye simu inasemaje iwe kwenye message za kawaida au Whatsap ili mradi iwe ya mwisho tu
Mimi yangu inasema " i miss you "
Habari, ulishapokea namba yako ya NIDA. Tafadhali fika Vodashop au kwa wakala wa usajili ukiwa na namba yako ya NIDA ili usajili namba yako na kuepuka usumbufu wa kufungiwa namba yako hivi karibuni.Ndugu mteja bado siku 2
namba yako ITAFUNGWA
kamilisha usajili kwa alama
za vidole tembelea maduka
yetu au wakala ukiwa na
namba ya NIDA
Wakitaka wafunge sisajili jama
Wajaribu kunipigia Mimi nitawajibu "LABUDA"😅Washanipigia simu mara 4 nikasajili nawapa tarehe tu. Sisajili wao wafunge tu asee
Weeeee hakuna kama hicho kitu... Ila yule mmama ntamuacha aloo[emoji23][emoji23][emoji23]Marinda yako hayapo sehemu salama sio?