Messages chafu za usagaji za Aunt Lulu zanaswa

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Kimenuka!

Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam , aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara , ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali , Lulu Mathias Semagongo ' Anti Lulu' kumtumia ' SMS ' za usagaji mwanaye aitwaye Zahara, Ijumaa lina kisa na mkasa. Mama huyo, akiwa amefura, alitinga kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global Publishers zilizopo Bamaga -Mwenge jijini Dar , mapema wiki hii na kueleza kuwa amebaini mchezo mchafu unaoendelea kati ya binti yake ambaye ni denti wa kidato cha pili na Anti Lulu.

MSIKIE MAMA MWENYEWE
Akizungumza kwa hasira , Mama Zahara aliwaka: Mimi nina mtoto huyu tu wa kike, anasoma boarding huko Tanga lakini hivi karibuni alirejea akidai wamepewa likizo ya wiki moja ."Tangu huyu mtoto amekwenda boarding, nimebaini amebadilika sana, amekuwa na vijitabia ambavyo sivielewi hivyo nikawa namchunguza sana. Leo ( Jumanne wiki hii ) wakati niko jikoni nikasikia anaongea na mtu akiwa chumbani kwake.

Mazungumzo yale yalinitia shaka kwani kuna muda nikamsikia ' akimkisi' aliyekuwa anazungumza naye. "Nilihisi kitu flani lakini nikasema nitamvizia nichukue simu yake nikiamini kama kuna kinachoendelea nitagundua, na kweli, alipotoka kwenda bafuni nikaichukua simu yake na kukutana na mambo ya ajabu . "Nilinasa hizi sms ambazo zilinionesha waziwazi kwamba mwanangu anafanya vitendo vya kisagaji. Niliumia sana hasa ukichukulia kwamba nina binti huyo tu ."Nilipoichukua ile namba , nikataka kujua kama kweli alikuwa anachati na msichana mwenzake au mwanaume, ikabidi nifanye kama nataka kumtumia pesa kwenye simu yake na hapo ndipo likaja jina la Lulu Semagongo.

Nilishtuka kwani namjua huyu msanii tangu alipokuwa mtangazaji. Nilipompigia akanijibu kwa kifupi tu kwamba nimlee vizuri mwanangu na yeye hawezi kumfanyia vitendo hivyo , nikaona bora nije kwenu mtanisaidia. "

MESEJI ZENYEWE ZIKOJE ?

Zahara : Natamani kufanya kale kamchezo ,
unaweza kunisaidia ?
Anti Lulu : Nitumie pesa !
Zahara : Kiasi gani cha pesa ? Pesa siyo
tatizo, umenielewa lakini ? Nataka tu …
( kitendo kichafu) .
Anti Lulu : Nitumie hiyohiyo , kwa muda huu
nitumie 30 ,000 .
Zahara : Sawa halafu tunaonana vipi ?
Anti Lulu : Nitumie pesa muda huu ,
Jumamosi .
Zahara : Mbona mbali sana mpenzi, leo
haiwezekani au hata kesho, pesa siyo tatizo .
Anti Lulu : Nitumie pesa basi .
Zahara : Subiri kidogo baby, simu yenye pesa
iko kwenye chaji , usijali , nashukuru kwa
kunionea huruma .
Anti Lulu : ( kimya ) .

KESHO YAKE

Anti Lulu : Umeona ishu kunidanganya siyo ?
Zahara : Siwezi kukudanganya mpenzi, ndiyo
naamka nitakutumia ila usije ukanidanganya
maana nina .. ., hiyo Jumamosi tunaonana
wapi ?
Anti Lulu : Tuta - meet ( kukutana ) Bondeni
Hotel ( ipo Magomeni , Dar ) , basi nitumie hiyo
pesa .
Zahara : Nikutumie kwenye namba hii , vipi
tutatumia vifaa?
Anti Lulu : Nitumie kwenye namba hii .
Zahara : Nijibu basi kama tutatumia vifaa au
hivihivi…
Anti Lulu : Hakuna haja ya vifaa, mimi
natosha…
Zahara : Haya natuma , nitafurahi sana.
Baada ya maelezo ya mama huyo kisha
kuziona sms hizo , kweli zilionesha Zahara
ndiye aliyekuwa akimshawishi Anti Lulu
amfanyie kamchezo hako huku msanii huyo
naye akionesha kuujua na kutaka apewe
kwanza Sh . 30, 000.
Kama ilivyo ada ya gazeti hili kutoa nafasi
kwa mtuhumiwa kusikika, Ijumaa lilimsaka
Anti Lulu ili kupata maelezo yake ambapo
alikuwa na haya ya kusema :

HUYU HAPA ANTI LULU

Kusema ukweli huyo binti ndiye aliyekuwa akinisumbua kwa kunitumia sms za kunitaka. Alionekana kuuzoea na kuupenda sana sana huo mchezo, mimi sijawahi, ni two different things ( vitu viwili tofauti ). "Inavyoonekana alitaka kunichafua kwani alinilazimisha sana, sijawahi kufanya huo mchezo na wala sifikirii hasa kwa binti kama mimi ambaye naamini wapo wanaume wanaonipenda, niingie kwenye usagaji natafuta nini? Huyo binti mwambieni anikome kabisa. "

Chanzo: GPL
 
Aisee yani aunty Lulu elfu 30 inamfanya ajidhalilishe hivyo?? Mbona hakumkemea huyo binti kama yeye hataki usagaji?
 
Umeuliza kwanini amekubali kwa elfu thelathini (30,000) nikahisi labda wewe huwa unawalipisha hela nyingi zaidi.

Samahani kwa kutokukuelewa.

Inawezekana pia na me nimeshindwa kuwasilisha nilichotaka kukisema.
Anyway nilimaanisha kama yeye hajihusishi na usagaji ni angemtolea tu huyo binti. Hakukuwa na haja ya yeye kuomba pesa tena elfu 30 coz mwisho wa siku amedhalilika kama hivyo. Kama alikuwa anataka tu hela za huyo msichana si angeomba tu hela kubwa kwa hadhi yake yeye, elfu 30 ni ndogo kwake jamani
 
Kweli Lulu kafulia mpaka anangangania 30000.asante warumi kwa taarifa
 

Sawa mkuu.
 
Umeuliza kwanini amekubali kwa elfu thelathini (30,000) nikahisi labda wewe huwa unawalipisha hela nyingi zaidi.

Samahani kwa kutokukuelewa.

Wewe naye mbea , ebu muache binamu yangu


Umeuliza kwanini amekubali kwa elfu thelathini (30,000) nikahisi labda wewe huwa unawalipisha hela nyingi zaidi.

Samahani kwa kutokukuelewa.
 
Umeuliza kwanini amekubali kwa elfu thelathini (30,000) nikahisi labda wewe huwa unawalipisha hela nyingi zaidi.

Samahani kwa kutokukuelewa.

Aunty lulu anawasaga hadi mashoga , anawagonga huyo kama hana akil nzur, anatumiaga ma dildo yale kuwaingiza uko nyuma


Kweli Lulu kafulia mpaka anangangania 30000.asante warumi kwa taarifa
 
Hivi ukishakuwa supastar kibongo ni lazima uwe mzinzi au msagaji na kufanya ngono maana si lulu.tu hata bongo movie wanaendekeza sana uchafu hawawazi ya maana zaidi ya tabia chafu
 
Duh mama Zahra akaona sehemu sahihi ya kulalamika ni GPL hakuna hata ka-kituo kadago ka polisi hapo mtaani kwao haaaahaaa GPL nahisi washampa ruzuku yake uyo Lulu ili heading iiuze.
 
Umeuliza kwanini amekubali kwa elfu thelathini (30,000) nikahisi labda wewe huwa unawalipisha hela nyingi zaidi.

Samahani kwa kutokukuelewa.

Hhhhhhaaaaaa loooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…