Messi aeleza hisia zake kuhusu penati

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mchezaji bora duniani leo messi yupo Bahamas kwa mapumziko lakini amezua gumzo mtandaoni baada ya kuvaa t shirt inaelezea hisia zake kuhusu penati mchezoni
 
Kwani walitoka ngapi ngapi kabla ya kufikia kwenye penati!

Kama vipi angefunga mapema kuzuia kwenda kwenye hizo penati.
 
Hahahaha
Akomeeee

Mwenzake Cr7 ana piga vuzuri tuu na hata akikosa halalamiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…