Messi anaenda kuchukua Balon d'Or ya nane, ndiye mchezaji pekee wa kumrithi Pele

Messi anaenda kuchukua Balon d'Or ya nane, ndiye mchezaji pekee wa kumrithi Pele

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Yes, perfect timing for Messi kuchukua Kombe la Dunia, hili kombe lina uzito kuliko UEFA Champions na ndio maana ni mara moja tu kila baada ya miaka minne, hakika Messi anaenda kuizoa Ballon d'Or.

Kwa hakika messi anaenda kujiweka level sawa na za kina Pele kule juu kabisa.

Huku chini wapo wachezaji wengine katika levels tofauti, ila huko juu kwa Pele na Messi kuna miungu ya mpira!
 
Yes, Perfect timing for Messi kuchukua Kombe la Dunia karibu na tuzo za Ballon Dor.

Kwa hakika messi anaenda kujiweka level sawa na za kina Pele kule juu kabisa.

Huku chini wapo wachezaji wengine katika levels tofauti ila huko juu kwa Pele na Messi kuna miungu ya mpira
nikumbushe Tuzo lini chifu
 
Back
Top Bottom