BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Klabu ya Paris Saint-Germain imeripotiwa kumsimamisha mshambuliaji Lionel Messi kwa wiki mbili bila mshahara baada ya Nyota huyo raia ya Argentina kukwepa mazoezi ya klabu hiyo na kukwea pipa kuelekea Saudi Arabia bila idhini ya klabu.
Upande wa Messi bado haujatoa ufafanuzi juu ya sakata hilo na unasubiri tamko rasmi la miamba hiyo ya Ufaransa.
Messi hataweza kucheza kwa wiki mbili zijazo ikiwa hakutakuwa na mabadiliko kwenye adhabu hiyo iliyoamuliwa na PSG.
Upande wa Messi bado haujatoa ufafanuzi juu ya sakata hilo na unasubiri tamko rasmi la miamba hiyo ya Ufaransa.
Messi hataweza kucheza kwa wiki mbili zijazo ikiwa hakutakuwa na mabadiliko kwenye adhabu hiyo iliyoamuliwa na PSG.