Wote hawa c Waislamu afu wapo ukanda mmoja, ah jamani wasiwe hvy bhana 😂Qatar Wana beef na Saudia Arabia..
PSG wanafata mfumo uliowagharimu Madrid 2003-2010 kununua Mastaa ambao mwisho wa sku wanakuwa uncontrollablePSG wapate manager.. waachane na kina messi na neymar.. wajenge timu yao kumzunguka mbappé.
Qatar Wana beef na Saudia Arabia..
PSG wapate manager.. waachane na kina messi na neymar.. wajenge timu yao kumzunguka Mbappé.
Vijitu vifupi vina matatizo
Mapunye kirikuu nessi anamatatizo