Messi atakaporejea atamfikia C7 ktk magoli na kumpita!

Messi atakaporejea atamfikia C7 ktk magoli na kumpita!

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Mchawi wa soka atakua nje kwa 2 months kwa maumivu,lkn huenda ikatokea kama msimu ulopita alivyorejea mwezi november 2014 toka majeruhi ya muda akakuta cr7 ana magoli 20 zaidi yake lakini hadi kufikia february akawa keshamkuta na kumfunika!!Get well soon Magical Messi Fbc tutakumiss mno!
 
Kwa misimu mitatu mfululizo RONALDO anaingiza kwa kupachika magoli la liga na msimu huu utakuwa wa 4.
Hebu tuache ushabiki wa kijinga tuongee ukweli na tuangalie takwimu sio unaongea tu. CR7 juzi tu kapiga bao 5 mechi moja au umesahau?
Kama unapenda mabishano sawa lakini rekodi ya ufungaji mabao ya ronaldo ipo juu.
 
Miez miwili sio mchezo mzee.....na bado akrud lazma awe muoga. Mess Kuongoza kwa magol ni ndoto.
 
Kwa misimu mitatu mfululizo RONALDO anaingiza kwa kupachika magoli la liga na msimu huu utakuwa wa 4.
Hebu tuache ushabiki wa kijinga tuongee ukweli na tuangalie takwimu sio unaongea tu. CR7 juzi tu kapiga bao 5 mechi moja au umesahau?
Kama unapenda mabishano sawa lakini rekodi ya ufungaji mabao ya ronaldo ipo juu.

mechi moja bao 5 mechi ilyofuata na bilbao hajafunga mechi na Malaga hajafunga Hii hatareeee sasa anatofaut gan na Rooney
 
Miez miwili sio mchezo mzee.....na bado akrud lazma awe muoga. Mess Kuongoza kwa magol ni ndoto.

Messi hapimik yule kiumbe kwanza siku hz guu lake la kushoto halitak penat linataka magoli ya mikikimikiki sasa Penado atakutwa na atapitwa
 
Mchawi wa soka atakua nje kwa 2 months kwa maumivu,lkn huenda ikatokea kama msimu ulopita alivyorejea mwezi november 2014 toka majeruhi ya muda akakuta cr7 ana magoli 20 zaidi yake lakini hadi kufikia february akawa keshamkuta na kumfunika!!Get well soon Magical Messi Fbc tutakumiss mno!

Hilo halina ubishi na ikfka February tyar atakuwa na ballon dor 5 MAANA MWAKA JANA PENADO ALICHUKUA TUZO SABABU MESSI ALIPATA MAJERUHI MIEZ KAMA HII SASA MWAKA HUU ASAHAU HILO
 
Kweli alifunga5 nilisikia lakini goli zake hazina utashi,tofauti na messi hata akifunga goli3 zinakua na uzito wa kipekee cause jinsi messi anavyotafuta goli ni tafauti na ronaldo anavyovizia na kusubiri tu ndio maana ht hizo5 pekee yake alizofunga hazina mashiko!laiti mesii nae angesema acheze kichoyo na kuviziavizia angekua na goli nyingi sana lkn mara nyingi yeye ndie mpikaji wa goals nyingi za Suarez na Neymar Jr
 
Kweli alifunga5 nilisikia lakini goli zake hazina utashi,tofauti na messi hata akifunga goli3 zinakua na uzito wa kipekee cause jinsi messi anavyotafuta goli ni tafauti na ronaldo anavyovizia na kusubiri tu ndio maana ht hizo5 pekee yake alizofunga hazina mashiko!laiti mesii nae angesema acheze kichoyo na kuviziavizia angekua na goli nyingi sana lkn mara nyingi yeye ndie mpikaji wa goals nyingi za Suarez na Neymar Jr
Na King Messi ndiye anayeongoza kwa assist la liga
 
Hilo halina ubishi na ikfka February tyar atakuwa na ballon dor 5 MAANA MWAKA JANA PENADO ALICHUKUA TUZO SABABU MESSI ALIPATA MAJERUHI MIEZ KAMA HII SASA MWAKA HUU ASAHAU HILO

Kweli alifunga5 nilisikia lakini goli zake hazina utashi,tofauti na messi hata akifunga goli3 zinakua na uzito wa kipekee cause jinsi messi anavyotafuta goli ni tafauti na ronaldo anavyovizia na kusubiri tu ndio maana ht hizo5 pekee yake alizofunga hazina mashiko!laiti mesii nae angesema acheze kichoyo na kuviziavizia angekua na goli nyingi sana lkn mara nyingi yeye ndie mpikaji wa goals nyingi za Suarez na Neymar Jr

Na King Messi ndiye anayeongoza kwa assist la liga


Acheni ushabiki maandazi mnajidhalilisha.
 
Kujizalilisha ki vipi? Na leo 28th mazoezini ma doctors wake wamemwambia yaweza kua wiki 7 tu badala ya 8 hivyo kuna uwezekano mkubwa genius wa soccer akawemo el classical game!
 
Kujizalilisha ki vipi? Na leo 28th mazoezini ma doctors wake wamemwambia yaweza kua wiki 7 tu badala ya 8 hivyo kuna uwezekano mkubwa genius wa soccer akawemo el classical game!

Tena akiwepo ndio vizuri tukose sababu za majeruhi ndio maana timu fulani kufungwa. Mpira uwanjani sio nje
 
Kwa misimu mitatu mfululizo RONALDO anaingiza kwa kupachika magoli la liga na msimu huu utakuwa wa 4.
Hebu tuache ushabiki wa kijinga tuongee ukweli na tuangalie takwimu sio unaongea tu. CR7 juzi tu kapiga bao 5 mechi moja au umesahau?
Kama unapenda mabishano sawa lakini rekodi ya ufungaji mabao ya ronaldo ipo juu.
mechi moja kaweka 5 mechi 4 hata moja
 
Messi hapimik yule kiumbe kwanza siku hz guu lake la kushoto halitak penat linataka magoli ya mikikimikiki sasa Penado atakutwa na atapitwa

Kweli wwe mtto una akili
 
Back
Top Bottom