ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Mchawi wa soka atakua nje kwa 2 months kwa maumivu,lkn huenda ikatokea kama msimu ulopita alivyorejea mwezi november 2014 toka majeruhi ya muda akakuta cr7 ana magoli 20 zaidi yake lakini hadi kufikia february akawa keshamkuta na kumfunika!!Get well soon Magical Messi Fbc tutakumiss mno!