Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Kuna habari zinasambaa mitandaoni kwa kasi sana kwamba ma-star wa Simba wanahitajika na timu kubwa barani Afrika kwa udi na uvumba. Na wengine wamethubutu kusema mpira ni biashara. Ni kweli mpira ni biashara but not at the expense of our club.
Kumuondoa Chama na Konde Boy utakuwa ndio mwisho wa Simba kufikia malengo tuliyojiwekea hapo mwakani. Kwani hata Barcelona hawakuthubutu hata mara kumuuza Messi na Iniesta wakati wako kwenye pick na mpaka leo bado wamekomaa na Messi wao.
Kwa sisi mashabiki tunaotaka furaha huu utakuwa ni mkuki mchungu sana kwetu na sioni mbadala wao kupatikana haraka. Haitokuwa Simba tena tunayoijua sisi.
Basi hao Al Ahly na wao watupe golie wao uone kama watakubali hilo deal.
Simba ni mshindani na wao lengo lao ni kumpunguza nguvu mpinzani kama sio kumsambaratisha kabisa.
Wana Simba tuwe makini sana na ma-deal haya.
Kumuondoa Chama na Konde Boy utakuwa ndio mwisho wa Simba kufikia malengo tuliyojiwekea hapo mwakani. Kwani hata Barcelona hawakuthubutu hata mara kumuuza Messi na Iniesta wakati wako kwenye pick na mpaka leo bado wamekomaa na Messi wao.
Kwa sisi mashabiki tunaotaka furaha huu utakuwa ni mkuki mchungu sana kwetu na sioni mbadala wao kupatikana haraka. Haitokuwa Simba tena tunayoijua sisi.
Basi hao Al Ahly na wao watupe golie wao uone kama watakubali hilo deal.
Simba ni mshindani na wao lengo lao ni kumpunguza nguvu mpinzani kama sio kumsambaratisha kabisa.
Wana Simba tuwe makini sana na ma-deal haya.