Messi - is he a human being? Wonders Demba Ba!

Nafikiri Leverkusen ilikuwa mbaya zaidi ya Leo alivyokuwa bora uwanjani
 
Ukifanya kitu kimoja tu!!! kwa muda wa 10 decades lazima uwe kama kichaaaaaa.
Messi si mzima yuleee ameanza soka tokea utotoni japo pia hata wengine pia wameanza utotoni kama yeye but Messi IZ THE ILLEST EVER SEEN B4!
 
messi wa kawaida acheni kumpamba ..aje kuchezea timu ya malindio tuone kama atafunga goli hata moja
 
maoni; hatitriki ibadilishwe iwe magoli 5 kuanzia sasa,naona 3 ishakuwa yeboyebo hata kipa akiamua anaweza kuzipata
 
Huyu dogo ni matata sana!
Usiombe timu unayoishabikia iwe inacheza na Barca dk zote 90 tumbo JOTO ata MAN U wanalijua ilo ule mziki wa last final ya UEFA
 
mi nadhani ni system ya uchezaji kwa timu ya Barca ndio inamfanya mesi an'gae hivyo, huwa mnaona jinsi anavyofichwa akiwa timu ya taifa....so ni mzuri kiukweli ila kuna mazingira ndio yanamfanya aonekane ni mzuri kuliko kawaida.
 
mkalai anakuwaje national team anakuwa yeboyebo...messi ni wa kawaida mno !!
 
mi nadhani ni system ya uchezaji kwa timu ya Barca ndio inamfanya mesi an'gae hivyo, huwa mnaona jinsi anavyofichwa akiwa timu ya taifa....so ni mzuri kiukweli ila kuna mazingira ndio yanamfanya aonekane ni mzuri kuliko kawaida.

Hivi huwa unaangalia Barca wanapocheza au unasimuliwa?
 
ukifanya kitu kimoja tu!!! Kwa muda wa 10 decades lazima uwe kama kichaaaaaa.
Messi si mzima yuleee ameanza soka tokea utotoni japo pia hata wengine pia wameanza utotoni kama yeye but messi iz the illest ever seen b4!

akicheza na villa squad hata moja afungi mjue mpira usivyo na adabu wanandugu
 
Anachezeshwa na kina Xavi akiwa barca ... ndo maana timu taifa hamna kitu ......
 
messi angekuwa mwafrika nahisi angeshafanyiwa vipimo kama ni binadamu wa kawaida!si unakumbuka semenya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…