Messi kuukosa mchezo wa El Classico

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411

Mshambuliaji wa Barcelona na Timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi apata majeruhi ya mkono katika mchezo wa jana wa Barcelona dhidi ya Sevilla

Katika mchezo huo Messi alisaidia upatikanaji wa goli 1 na kufunga goli 1

Mwisho wa mchezo huo Barcelona iliibuka na ushindi wa mabao 4 kwa 2

Aidha, majeraha haya ya Messi yanasababisha aukose mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu Hispania maarufu El Classico

Mchezo huo wa Barcelona dhidi ya Real Madrid unatarajiwa kuchezwa Oktoba, 28 mwaka huu
 
Si mbaya watachuana benzema bale, surelezz na wengine
 
Itakuwa El Classical ambayo haina mvuto! Labda ni fursa kwa wengine kung'aa!
 
Kama nessi amevunjika na mnyama cr7 amehama, basi mechi iahirishweee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…