ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Espanyol 0 Barcelona 4
Messi kaingia kambani x2 na ametoa assist Ya goli la pili la Dembele
Kwa walioshuhudia jinsi Messi alivyofight ktk game hii, ambayo kwake Ni game yake ya pili tangu atoke majeruhi
Tayari amefikia idadi sawa ya magoli na Stuani mchezaji anayeongoza kwa ufungaji là liga
Tuweke ushabiki pembeni hivi kwa style Ya uchezaji wa Messi ktk game hii, umahiri,Ball control speed na accuracy
Hivi Ni mchezaji gani kwa sasa ulaya anaeweza fanya mambo yale ?
Inakuweje Messi unamuweka no 5 ktk wachezaji bora wa dunia ?
Kwanini vigezo visiangalie uwezo halisi wa mchezaji ?
Hii ya kusema mchezaji timu yake ilifanyaga vizuri kwenye michuano mingine eti ndio imbebe naona kama sio
Leo hii Modric Anaanzaje kusimama na Messi ?
Ichezwe game Barca vs Réal Madrid tuangalie na tuthaminishe uwezo wao wote perfomance uwanjani ki ujumla... Itakuaje hapo ?
Nimeshuhudia Modric game nyingi za karibuni hamalizi ! Nyingine nyingi akianzia benchi.. Ati ni mchezaji bora wa ulaya na dunia !
Jamani Messi habari ingine hakika hakuna wa kumkaribia kwa sasa ulaya
Messi kaingia kambani x2 na ametoa assist Ya goli la pili la Dembele
Kwa walioshuhudia jinsi Messi alivyofight ktk game hii, ambayo kwake Ni game yake ya pili tangu atoke majeruhi
Tayari amefikia idadi sawa ya magoli na Stuani mchezaji anayeongoza kwa ufungaji là liga
Tuweke ushabiki pembeni hivi kwa style Ya uchezaji wa Messi ktk game hii, umahiri,Ball control speed na accuracy
Hivi Ni mchezaji gani kwa sasa ulaya anaeweza fanya mambo yale ?
Inakuweje Messi unamuweka no 5 ktk wachezaji bora wa dunia ?
Kwanini vigezo visiangalie uwezo halisi wa mchezaji ?
Hii ya kusema mchezaji timu yake ilifanyaga vizuri kwenye michuano mingine eti ndio imbebe naona kama sio
Leo hii Modric Anaanzaje kusimama na Messi ?
Ichezwe game Barca vs Réal Madrid tuangalie na tuthaminishe uwezo wao wote perfomance uwanjani ki ujumla... Itakuaje hapo ?
Nimeshuhudia Modric game nyingi za karibuni hamalizi ! Nyingine nyingi akianzia benchi.. Ati ni mchezaji bora wa ulaya na dunia !
Jamani Messi habari ingine hakika hakuna wa kumkaribia kwa sasa ulaya