timu yao yamoto sana. tevez, messi, aguero, icardi.....
Huyo Neymar mbona hata uwezo wake hamfikii Eden Hazard!!!!
Uwezo wake ni wa kawaida tu ila anabebwa na media....
Huyo Neymar mbona hata uwezo wake hamfikii Eden Hazard!!!!
Uwezo wake ni wa kawaida tu ila anabebwa na media....
Hata Ile ya nyuma walimpa CR7 kwa kumfariji tu sio kwa uwezo baada ya kuona analia sana.Hii ya saiz anachukua messi hakuna ubishi.
Pamoja na kuwa na mimi ni fan's wa chelsea ila mhhhh.!!!!Huyo Neymar mbona hata uwezo wake hamfikii Eden Hazard!!!!
Uwezo wake ni wa kawaida tu ila anabebwa na media....
Higuain...
Higuain...
timu yao yamoto sana. tevez, messi, aguero, icardi.....
Higuain...
mascherano
Di Maria
Ezequiel Lavezzi.
Marcos Rojo