Messi na Ronaldo walivyokutana

Messi na Ronaldo walivyokutana

mcshonde

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
66
Reaction score
154
Kwenye mechi ya kirafiki kati ya PSG na wachezaji wa Al Nassr & Al Hilal Messi na Ronaldo wameonyesha ni namna gani mgawano wao wa ushabiki upo kwa ajili ya kutengeneza pesa na sio uadui. Kama Ronaldo kaanza vizuri namna hii basi ligi ya uarabuni itakuwa moto na kawaaminisha waarabu kuwa mzigo mnene waliouweka utawalipa. Kwa upande wa uarabuni ikitokea kuna kuchagua basi nasimama na Al Nassr
GOAT.jpeg
 
Ninyi wabongo mnapenda sana kuchonganisha, ndivyo mlivyojiumba.Mnadhani messi na ronaldo ni kiba na mondi au vannyboy na mmakonde.
 
Nani atafuatilia ligi ya uswekeni ndugu yangu uyo ronaldo anastress za kukataliwa ulaya
 
Back
Top Bottom