Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 10
- Thread starter
-
- #21
Humu kuna watu wabishi sana. Yaani watu wanabishana mpaka na makocha wa timu wanazozishabikia. Rejeeni wanayoyasema Maurinho, Fergusson, Wenger na wengineo kuhusu Messi. Halafu kuna wengine wanataka kumfananisha Ronaldo wa ukweli na Ronaldo wa kuchakachuliwa!
Kwa nini Messi anaperform vizuri akicheza na XAVI/INIESTA/SERGIO akiwa kwao Argentina mchovu tofauti na kina Zidane,Ronaldo,KAKA &Ronaldinho?
Hivi Game ya Mwisho ya Argentina na Spain ilikuwa Ngapi ngapi? Xavi, Iniesta walikuwa Upande Gani?
Argentina walishinda, tena kwa kishindo 4 - 1 ::: Lakin matokeo yangekuwa kinyume chake kama wangecheza ktk competitive match au pale Sauz wangekutana Final. Friend games wala zisikuchanganye ndugu. Ile game Argentina wangeweza kushinda hata 7 - 1 lakin usitegemee hayo kwenye game za ushindani
Messi kinachomfanya aonekane mchawi ni ile pattern ya Barca, ikiondoa hiyo ni wa kawaida mno. Ndio maana hajawa na msaada mkubwa kwa nchi yake kwa kuwa hiyo pattern haipo, kama atahamia EPL ndio itakuwa mwisho wake.
Argentina walishinda, tena kwa kishindo 4 - 1 ::: Lakin matokeo yangekuwa kinyume chake kama wangecheza ktk competitive match au pale Sauz wangekutana Final. Friend games wala zisikuchanganye ndugu. Ile game Argentina wangeweza kushinda hata 7 - 1 lakin usitegemee hayo kwenye game za ushindani
Messi kinachomfanya aonekane mchawi ni ile pattern ya Barca, ikiondoa hiyo ni wa kawaida mno. Ndio maana hajawa na msaada mkubwa kwa nchi yake kwa kuwa hiyo pattern haipo, kama atahamia EPL ndio itakuwa mwisho wake.
Messi ni wa kawaida mno hafikii hata robo ya Cristiano Ronaldo. Akienda England halafu akutane na time kama Stoke City, Bolton, Blackburn na Fulham week in week out hawezi kumaliza mwaka ataishia kuwa kama Reyes aliekuwa Arsenal. Timu nyingi za EPL zinaweza kumpoteza. Kwenye mechi na Germany WC 2010 alipotezwa kabisa na akina Bastian na Khedira. Kule Spain at the moment anafanya vizuri kwa sababu ya mpira wa kule na wachezaji wa Barca wamemaster passing game na pia mabeki pinzani hawana tough game kama EPL. Sidhani kama ataweza kufanya dribblings zake akikutana na hizo time nilizozitaja hapo juu, akijaribu ataishia kuwa majeruhi three quarters of the season.
Ushakuwa Sheikh Yahya Mkuu
Sijatabiri, ila namaanisha kuwa ubao usingesomeka Argentina 4 - 1 Spain ila UNGEWEZA kuwa kinyume chake. Nasahihisha Mkuu.
hiyo ilikuwa mechi ya kirafiki,halafu Xavi,Iniesta,Casillas na Pique hawakuwepo woteArgentina walishinda, tena kwa kishindo 4 - 1 ::: Lakin matokeo yangekuwa kinyume chake kama wangecheza ktk competitive match au pale Sauz wangekutana Final. Friend games wala zisikuchanganye ndugu. Ile game Argentina wangeweza kushinda hata 7 - 1 lakin usitegemee hayo kwenye game za ushindani
Ha ha ha Ndiyo Utabiri wenyewe huo Mkuu. All in all Messi is Messiless ngojeni muone ameshawahi Kucheza na Timu ya England na Kufunga Mabao manne Katika Mechi Moja
Point!!!! Nadhani atarefuka akicheza EPL
alishawafunga Manchester goli la ndosi ktk Final na alishawatomasa Assnail 4 so sidhani kama mpk hapo bado huyu mtu ni wa kuzalilishwa kama hivyo mnavyolazimisha.
All in all Barca watakuja Emirates mwezi wa pili mwakani...tuombe uzima
Bado watu wamekuwa vichwa MAWE kuelewa nasema nini?!! Hayo ya Champions League nayajua jamani, ninachotaka ni MESSI KUCHEZA EPL TU . . . na sio kuvaa pattern ya Barca kucheza na Man Utd, sijui nani halafu unachukulia anauzoefu na EPL
Ishu sio kucheza nao mechi moja mbili halafu unaachana nao, hapa nasemea aje EPL afunge magoli kama anavyofunga La Liga tuone . . . dogo ana kipaji lakin nadhan akacheze pia England na aonyeshe makeke kama anavyofanya Spain
Kwa physical game, timu za Spain ni nyanya sana, huwezi fananisha timu yoyote ya Spain kwa timu za England kwa physical game . . . na isitoshe Messi haonekani uwanjani mechi zote walizocheza Barca na Chelsea. R. Madrid haiwezi kucheza physical game wakati huo sio mpira wao, walikuwa wanajaribu tu kitu wasichokijua. Pengine Mourinho sasa ndo atajaribu kuwafundisha physical game, na itawachukua muda sana kuiweza. Messi hawezi kuonekana ukicheza 60% physical game plus 40% brain-Use game, hii inatokana na umbile lake pia. Anakipaji sawa hatukatai, ila ana mapungufu yake pia. Jaribu kuangalia game ya Argentina vs Ujeruman ktk WC 2010 au Chelsea vs Barcelona pale darajani ambapo ngoma iliisha 1 - 1 ndo utajua Messi unamkabaje
Why the double standards? Kwanza unasema usiangalie game moja au mbili dhidi ya teams in the EPL but then you do the same by judging him by looking at a handful of games against Chelsea and Germany.
If Torres, Febregas and Van Parsie can handle the EPL why not Messi?
Messi playing in the EPL? that will be a step down for him. 90% of the "Greats" applied their trade in Spain where true football is played and not in England where football is blended in with Rugby.
Kama mnakubali akina Zidane, Ronaldo wa kweli, Gaucho, Figo and Kaka ni wachezaji wazuri ilihali hawajawahi cheza EPL why do you have to doubt Messi? Like it or not, he is the best at the moment.
Just be content with seeing Drogba, Torres and Gerald week in week out in your "great" EPL and leave us to appreciate Messi in the La Liga.
U repeat!!! Why comparing Messi with Torres, Fab and Co? Are they using Messi legs? Are they playing like Messi? Or are u trying to convince us dat, bcoz Messi is a has shined ONLY with Barca, then he play and shine everywhere???