Messi tajiri zaidi kwa wanandinga

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Mchezaji nguli wa Barcelona,Lionel Messi anaongoza kwa kipato kati ya wachezaji wote wa kandanda duniani.Hii ni kwa mujibu wa kipato cha mwaka mzima wa jana.Messi anafuatiwa na David Bekham na Cristiano Ronald😵rodha kamili ni kama ifuatavyo:

Kipato ( euros): 1: Lionel Messi, Barcelona (33m), 2: David Beckham, LA Galaxy (31.5m), 3: Cristiano Ronaldo, Real Madrid (29.2m), 4: Samuel Eto'o, Anzhi, (23.3m), 5: Wayne Rooney, Man United (20.6m), 6: Sergio Aguero, Man City (18.8m), 7: Yaya Toure, Man City (17.6m), 8: Fernando Torres, Chelsea (16.7m), Kaka, Real Madrid (15.5m), Philipp Lahm, Bayern Munich (14.3m).

Wapi Mrisho Ngassa na Felix Sunzu?
 
Sio Tajiri zaidi, Ila kwa mwaka jana ndio aliongoza kwa mapato. Tofautisha utajiri wa jumla na pato la mwaka
 
Sio Tajiri zaidi, Ila kwa mwaka jana ndio aliongoza kwa mapato. Tofautisha utajiri wa jumla na pato la mwaka
Hakuna tofauti yoyote.Tajiri ni tajiri tu;hata kwa mwezi.Soma vizuri Mkuu..
 
Kwa kuimejini. Mrisho Ngassa anaweza kuwa kama wa ngapi hivi kwenye list?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…