Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,884
- 8,956
Cr7 angecheza timu kama Argentina nadhan mnajua nini kingetokea
Cr7 angecheza timu kama Argentina nadhan mnajua nini kingetokea
Messi anaweza kucheza kama playmaker, yani mid, kwa skills aluzokuwa nazo kitu ambacho cr7 hajawahi kuthubutu , na hana skills hizo, yeye ni mbio na mashuti tu
Mjomba, sisi tunaojua soka tunasema mpira magoli, hayo mambo mengine sijui nani anajua kurembua kuliko mwenzake peleka kwenye Bongo movie. Mpaka mechi ya jumamosi 25/10/2014 ukweli umejulikana, cheki hapo chini, au kama lugha itakugonga tutakutfsilia
Años = years
Goles = goals
Upo Sahihi Mkuu RONALDO MODEL SIO FOOTBALLER
​Sasa umeni-quoete nini hapo? Kusoma hujui hata picha huoni, Messi kacheza la liga miaka 10 kafunga magoli 250, wakati Ronaldo miaka 5 tu anaribia magoli 200. Au wewe ndio wale wale kina bishana mpaka ufe?
​Sasa umeni-quoete nini hapo? Kusoma hujui hata picha huoni, Messi kacheza la liga miaka 10 kafunga magoli 250, wakati Ronaldo miaka 5 tu anaribia magoli 200. Au wewe ndio wale wale kina bishana mpaka ufe?
wewe unajua hesabu kweli? miaka CR7aliyocheza Man U alifunga magoli mangapi? kisha jumlisha na ya la liga!sasa una hakika gani kama ronaldo akifikisha miaka kumi atafikia magoli 250 acha uchuro
then why umechukua rekodi moja tu