Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ni Wachezaji Bora Katika Miaka Kumi Iliyopita na Bado ni wapinzani Mkubwa Mpaka sasa, sas Lazima Mmoja awe zaidi ya Mwenzie na sasa ni Nafasi yako MwanaJF kujichagulia Nani Bora kwa Mtazamo Wako!

Note: Hoja na Mijadala Inaruhusiwa


 

Attachments

  • upload_2017-6-24_22-43-56.jpeg
    4.8 KB · Views: 86
  • upload_2017-6-24_22-44-11.jpeg
    3.6 KB · Views: 80
kura yangu kwa [HASHTAG]#CR7[/HASHTAG] ingawaje Messi pia namkubali

[HASHTAG]#HallaMadrid[/HASHTAG]
 
Mmeleta tena huu uzi mbona upo mode futen mpaka bato ya kulee iishe
 
Gaucho bwana hatuji kumpata mtu wa hivyo tena. Mungu kuna sehemu aliwekeza akazidisha, kuuchezea na kuutuma mpira kama shilingi mkononi inahitaji hekima za Muumba. Heshima kwa Dhino!
 
Gaucho bwana hatuji kumpata mtu wa hivyo tena. Mungu kuna sehemu aliwekeza akazidisha, kuuchezea na kuutuma mpira kama shilingi mkononi inahitaji hekima za Muumba. Heshima kwa Dhino!

Mjadala ulishafungwa, 1. Dinho 2. CR7 3. Messi 4. Waliobaki( zidane, platini, maradona, cryuff)
sasa Ronaldinho huwa tuna muita
mtume na nabii wa mpira
 
Mtu aliemnyanganya cr7 UEFA kijana Mfupi hivi mwenye natural talent kutoka huko Argentina ndyo G.O.A.T
 
Hatuwezi mfananisha gaucho na Ronaldo & mess never. Gaucho n wakufananishwa na Zidane japo kuwa Zinedine n extraordinary kabsaa.
 
From 2008 to now King bado anasumbua kama kawa kama dawa,,,,,ballon 3 or 4 zinamsubiri the king alone 😀😀 wengine wataendelea kusubiri mno
 
Leo mjomba pale bernabeu kama kafunikwa ivii....lakini huyu mzee ronaldo lazima akalipe kisasi pale NOU CAMP maana ndo anapapendaga palee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…