Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Japo tumefungwa lakini chenga twawala ati yakhe! Uchambuzi mzuri sema mashabiki wanaangalia ametikisa nyavu mara ngapi?
Dunia iliumbwa na itaisha. Lakini isingeweza bila ya kuja Messi kuihudumia idara ya soka uwanjani, sio saloon wala ma-game au chupi na boxer, Yaan Messi ni wa uwanjani tu.
Dunia hii mtu ambaye hamkubali Messi ( Though kila mtu ana uhuru wa kuchagua ) nadhani kuna haja ya kuacha kushabikia football ahamie hata kwenye mieleka