what the f.u.c.k,..topic gani hizi?
Umeshaambiwa kama topic huipendi basi usichangie.
Sura mbaya, Lione.
unamuogopa Arushaone eh? Maana kuona umeambiwa atachukua nafasi umechomoka mafichoni fasta...Duh, haya!
Ona makalio yake,kama humps za bongo.
Ona makalio yake,kama humps za bongo.
unamuogopa Arushaone eh? Maana kuona umeambiwa atachukua nafasi umechomoka mafichoni fasta...
Ushawahi kufunguliwa thread?
mnhhhhhhhhhhhhh
mnhhhhhhhhhhhhh
Afu na wewe mbona hujanipigia simu? Lol
ungeanzisha thread ndo unapigiwa lol
siku hizi wanaume ni almasi,acha turinge lol
Sasa namba yangu ulichukua ya nini?
Ngoja nikuanzishie thread walah...Yaani nimesubiri weeee,kupiga hupigi..! Lol
we itabidi uende radio Tanzania kabisaa lol