MESTOD mbona umechuna?

Na mie kuna mtu inabidi nimuanzishie thread. Yaani simu hata mlio siujui manake sipigiwi. Mweeh.
Akishapiga utupe mrudisho nyuma.

mi ntaomnba jukwaa langu kabisa!
hiv Jenu hz ni stress za justin kuoa au?
cc watu8
manake kama sikuelewi hv!
 
Last edited by a moderator:
Yaani mtani namuonea huruma sana bi dada...
Naona kila wakati baada ya kugundua kaachwa solemba basi ni mfululizo wa NYUZI za kusaka koloni jipya...
Itabidi niunde kikosi kazi au tume ya kuokoa jahazi la bi dada lisizame...

mi ntaomnba jukwaa langu kabisa!
hiv Jenu hz ni stress za justin kuoa au?
cc watu8
manake kama sikuelewi hv!
 
Yaani mtani namuonea huruma sana bi dada...
Naona kila wakati baada ya kugundua kaachwa solemba basi ni mfululizo wa NYUZI za kusaka koloni jipya...
Itabidi niunde kikosi kazi au tume ya kuokoa jahazi la bi dada lisizame...

AHAHAHHAH mtani unataka kupeleka kikosi cha uokozi?JK akisikia atakualika ikulu kula ubwabwa!
 
Mtani usiombwe ukutwe na kiweweseko cha mapenzi, ugonjwa huu ndio uliomkuta ndugu yetu...sasa sijui MESTOD katifua wapi atiii

AHAHAHHAH mtani unataka kupeleka kikosi cha uokozi?JK akisikia atakualika ikulu kula ubwabwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…