Na mie kuna mtu inabidi nimuanzishie thread. Yaani simu hata mlio siujui manake sipigiwi. Mweeh.
Akishapiga utupe mrudisho nyuma.
utabaki kuguna.
bora umerudisha avatar yako
Yaani mtani namuonea huruma sana bi dada...
Naona kila wakati baada ya kugundua kaachwa solemba basi ni mfululizo wa NYUZI za kusaka koloni jipya...
Itabidi niunde kikosi kazi au tume ya kuokoa jahazi la bi dada lisizame...
AHAHAHHAH mtani unataka kupeleka kikosi cha uokozi?JK akisikia atakualika ikulu kula ubwabwa!