njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Habari kama hizi makanjanja huwa wanazikaushia hapo lazima uwasifu mafioso wa utopoloni kwa jinsi walivyoweza kulifanikisha hilo.
Hao jamaa ni bora wa discuss tweets za Mo Dewji kwa lisaa limoja kuliko vurugu za Lamine Moro kule Kigamboni, wachezaji kugomea mazoezi magumu kabla ya mechi waliyokimbia taifa..blah blah blah.
Sasa kimenuka Shinyanga huko na uzuri mpashaji habari ni mwana jf mwenzetu anaitwa Muddy Kabwe.
Hao jamaa ni bora wa discuss tweets za Mo Dewji kwa lisaa limoja kuliko vurugu za Lamine Moro kule Kigamboni, wachezaji kugomea mazoezi magumu kabla ya mechi waliyokimbia taifa..blah blah blah.
Sasa kimenuka Shinyanga huko na uzuri mpashaji habari ni mwana jf mwenzetu anaitwa Muddy Kabwe.