njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
[emoji134][emoji134][emoji2960][emoji2960][emoji2960]Metacha kamtukana naskia yule tapeli video vixen
Huyo Mudy Kabwe ni njaa zake zinamsumbua,tangu wakina Nyika walipoondolewa Yanga yeye amekuwa mtu wa kupika majungu,uzushi na uchonganishi sababu tuu mrija wa kula umekatwa.
Kwahiyo kama hata Kocha wake wa Makipa Razak Siwa ana tabia za ' Kimombasa ' na kataka ' Kummombasa ' Metacha Mnata ili awe anamshawishi Kocha Nabi awe anampanga Yeye akubali tu? Wewe ungekubali ' Kumombasiwa ' Mkuu?Mpira bila nidhamu haiwezekani kabisa,
Nidhamu ndio kila kitu.
Thd inasema kosa ni "Kulewa kupita kiasi na kutukana wenzake"Kwahiyo kama hata Kocha wake wa Makipa Razak Siwa ana tabia za ' Kimombasa ' na kataka ' Kummombasa ' Metacha Mnata ili awe anamshawishi Kocha Nabi awe anampanga Yeye akubali tu? Wewe ungekubali ' Kumombasiwa ' Mkuu?
Sasa Mimi nimekupa hilo la ndani hasa.Thd inasema kosa ni "Kulewa kupita kiasi na kutukana wenzake"
Hayo uliyo yaandika hapo mimi siyafahamu,nimechangia mada kama ilivyo.