Metacha Mnata hapaswi kuwa Yanga, aachwe haraka sana

Metacha Mnata hapaswi kuwa Yanga, aachwe haraka sana

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Tangu nianze kutazama mechi za yanga, pale golini akikaa Metacha mnata tegemea magoli ya hovyo hovyo, kadi nyekundu au kujifanya anabanwa misuli sijui walimtoa wapi mtu huyu.

Huyu dogo alitugharimu kule ALGERIA pia akapigwa kadi nyekundu siku ya mechi ya Prison huyu bwana mdogo ni majanga.
 
Back
Top Bottom