Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuuu...............Na-assume sasa na Corona hii kinafika around 30/35K,nilikinunua mara ya mwisho 2017 25K.
Kinauzwa maduka ya umeme nenda Kariakoo Gerezani vipo chungu mbovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Meter separation sio kifaa bali ni mita ya pili ili kutenganisha matumizi ya eneo moja na lingine.Gharama za kufungiwa ni sawa na mita ya kwanza.Naomba msaada wa kujulishwa, bei ya kifaa cha umeme "Meter Separation" kwa sasa, na je, kina terms zozote? na kinapatikana TANESCO au maduka ya umeme?
Meter separation sio kifaa bali ni mita ya pili ili kutenganisha matumizi ya eneo moja na lingine.Gharama za kufungiwa ni sawa na mita ya kwanza.
Aidha swali lako linaonyesha unahitaji kimita cha kusomea matumizi ya kuka mpangaji au mtumiaji wa nyunba husika hivi vinapatikana kwenye maduka ya vifaa vya umeme kw bei walizopanga wao na anafunga fundi wako wa umeme baada ya mita hivyo havihusiani na TANESCO
Sent using Jamii Forums mobile app
Meter separation sio kifaa bali ni mita ya pili ili kutenganisha matumizi ya eneo moja na lingine.Gharama za kufungiwa ni sawa na mita ya kwanza.
Aidha swali lako linaonyesha unahitaji kimita cha kusomea matumizi ya kuka mpangaji au mtumiaji wa nyunba husika hivi vinapatikana kwenye maduka ya vifaa vya umeme kw bei walizopanga wao na anafunga fundi wako wa umeme baada ya mita hivyo havihusiani na TANESCO
Sent using Jamii Forums mobile app