Methali Katika Mtihani Wa Kitaifa wa Darasa La Nane (Kenya)

MwendaOmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
774
Reaction score
723
Je, jibu la swali la sita ni lipi? Huu ni mtihani wa Kitaifa wa darasa la nane.

 
D, Mbona mtihani ni mrahisi sana? kipindi nikiwa o level nilipenda sana kosolve paspaers za Physics na Chemistry za form four za Kenya sana
 
D, Mbona mtihani ni mrahisi sana? kipindi nikiwa o level nilipenda sana kosolve paspaers za Physics na Chemistry za form four za Kenya sana

Kwanini D? Kwa maoni yangu A na D hayafai. Jibu liko kati ya B na C.
 
Swali la sita jibu lake ni "A".i.e Papo kwa papo kamba hukata jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…