Kama ww wasema Cha nn mwenzio asema atakipata liniKuna mahusiano yapo kwenye methali isemayo "mvumilivu hula mbivu" but another time inageuka "ngojangoja huumiza matumbo"
"Waliochagua Nazi wakaishia koroma" wamebaki kupata na "usiache mbachao kwa msala upitao".
Mi kuna mchongo nausikilizia,tusikie kwenu Nyie mlio dimbani mahusiano yenu yapo kwenye methali gani?
Kiruuuuh kitumbua kimeingia mchangaKuna mahusiano yapo kwenye methali isemayo "mvumilivu hula mbivu" but another time inageuka "ngojangoja huumiza matumbo"
"Waliochagua Nazi wakaishia koroma" wamebaki kupata na "usiache mbachao kwa msala upitao".
Mi kuna mchongo nausikilizia,tusikie kwenu Nyie mlio dimbani mahusiano yenu yapo kwenye methali gani?
Umebwagwa tena🤣🤣🤣🤣 kha! Weee hutaiona pepo kwa kweliNgoma ikilia sana hupasuka.Tulianza kwa kasi kubwaaa kilichokuja tokea tumepasuka vipande vipande.
Wee bwana hayo ni mahusiano yaliyopita 😂😂Umebwagwa tena🤣🤣🤣🤣 kha! Weee hutaiona pepo kwa kweli
😂😂😂 Tule methali ya mahusiano ya sasa mremboWee bwana hayo ni mahusiano yaliyopita 😂😂
😂😂😂 Ngoja nipekue ya kufanana nayo mana ni full mahaba😂😂😂 Tule methali ya mahusiano ya sasa mrembo
Nisubiria hapa😂😂😂 Ngoja nipekue ya kufanana nayo mana ni full mahaba
Aisee[emoji2815]Ndio nakuambia sasa[emoji2]
Maana mrembo ananiacha mie mwenye upendo wa kweli anaenda kwa watu wanaokula mbususu tuu🤣🤣🤣🤣🤣Aisee
Ndio mamaKabisa cute,tusidharauliane❤️