Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,606
- 1,711
1. Samaki mmoja akioza wote wameoza
2. Usipoziba ufa utajenga ukuta
3. Siku za mwizi ni arobaini
4. Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho
5. Kikulacho ki nguoni mwako
6. Kipya kinyemi ingawa kidonda
7. Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi
8. Jungu kuu halikosi ukoko
9. Lisemwalo lipo kama halipo linakuja
10. Avumaye baharini papa kumbe wengine wapo
11. Dalili za mvua ni mawingu
12. Kukopa harusi kulipa matanga
13. Kozi mwana mandanda kulala na njaa kupenda
14. Mwenda tezi na omo hurejea ngamani
15. Fumbo mfumbie mjinga mwerevu huling'amua
16. Lila na fila havitangamani
17. Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
18. Sikio la kufa halisikii dawa
19. Utavuna ulichopanda
20. Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga
2. Usipoziba ufa utajenga ukuta
3. Siku za mwizi ni arobaini
4. Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho
5. Kikulacho ki nguoni mwako
6. Kipya kinyemi ingawa kidonda
7. Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi
8. Jungu kuu halikosi ukoko
9. Lisemwalo lipo kama halipo linakuja
10. Avumaye baharini papa kumbe wengine wapo
11. Dalili za mvua ni mawingu
12. Kukopa harusi kulipa matanga
13. Kozi mwana mandanda kulala na njaa kupenda
14. Mwenda tezi na omo hurejea ngamani
15. Fumbo mfumbie mjinga mwerevu huling'amua
16. Lila na fila havitangamani
17. Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
18. Sikio la kufa halisikii dawa
19. Utavuna ulichopanda
20. Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga