Mexico wabuni mtindo mpya wa Barakoa dhidi ya Corona

Mexico wabuni mtindo mpya wa Barakoa dhidi ya Corona

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
24,606
Reaction score
39,289
Watafiti nchini Mexico wanadai kuwa wamebuni mtindo mpya wa Barakoa (mask) ambao utamuwezesha mtumiaji kuweza kula, kunywa na hata kuzungumza huku akiwa bado amejilinda dhidi ya Virusi vya Corona.

40932566-9401795-image-a-63_1616680948386.jpeg

Barakoa hiyo ambayo imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii na kuitwa ‘maski za pua’ zilionekana kuvaliwa na mwanaume mmoja na mwanamke ambao majina yao hayakuweza kutambuliwa wakiwa wamekaa katika mgahawa wakipata chakula.

2222.jpeg

Kipande cha video ambacho kilisambaa kupitia shirika la habari la Reuters walionekana wawili hao wakivua Barakoa zilizoziba mdomo na ndani yake kukiwa na hizo ambazo si zakawaida huku wakipata chakula wakiwa pamoja.
 
Watafiti nchini Mexico wanadai kuwa wamebuni mtindo mpya wa Barakoa (mask) ambao utamuwezesha mtumiaji kuweza kula, kunywa na hata kuzungumza huku akiwa bado amejilinda dhidi ya Virusi vya Corona.

40932566-9401795-image-a-63_1616680948386.jpeg

Barakoa hiyo ambayo imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii na kuitwa ‘maski za pua’ zilionekana kuvaliwa na mwanaume mmoja na mwanamke ambao majina yao hayakuweza kutambuliwa wakiwa wamekaa katika mgahawa wakipata chakula.

2222.jpeg

Kipande cha video ambacho kilisambaa kupitia shirika la habari la Reuters walionekana wawili hao wakivua Barakoa zilizoziba mdomo na ndani yake kukiwa na hizo ambazo si zakawaida huku wakipata chakula wakiwa pamoja.
Ngoja na sisi mafundi cherehani tushone za kwetu za vitenge, fursa hii
 
Haya masihara sasa nimecheka sana kwa hiyo picha ya huyo mzee.

Inachekesha zaidi jinsi alivyo serious na barakoa yake.

Dunia inafurahisha sana kwa kweli.
 
Barakoa ndo zinaachwa hivyo taratibu.
Moja kati ya elimu za barakoa ilikua ni kuhakikisha inaziba vizuri pua na mdomo.
 
Back
Top Bottom