Something wrong kwa kweli. Na hiyo something ndiyo hii tunakuambia leo ujue ni kwa nini pamoja na kuhujumu uchaguzi huyu naye ni fake kimaadili. Alikuwa Diwani pia na madudu aliyofanya huko yataletwa muda sii mrefu.
Rafiki yetu ama kweli wewe ndo crap, ushahidi wote huo unaotolewa na wadau wewe bado unang'ang'ana na hoja za kijinga huku unajificha katika u great thinker? Toka lini crap akawa great thinker? Matope matupu!
Usicheze na watu wa Mungu kama Makamba na Msudani a.k.a Mary chatanda anavyofanya.
Do you call urself a great thinker?.
cmon Nj be in ur age, unazungumzia "ushahidi wote unaotolewa" ushahidi gani unaozungumzia wewe? kuna ushahidi wowote unaoonyesha Mungu ametoa hukumu kwa kukwama na mfupa, kuumwa miguu, na mauaji ya arusha kwa wale wote walio wanyanyasa maaskofu wa congo?.
Unataka tuamini fujo za arusha ni matokeo ya kunyanyasa maaskofu wa congo?.
Yawezekana hujaelewa post zangu hebu try to read btwn lines utanielewa namaanisha nini
Lakini mkuu kuingilia siasa si ndio matokeo yake.
Siasa is about kuchafuana ili wewe uonekane msafi, sasa hao maaskofu wanapoingia huko wawe tayari kwa hilo na katika hili msilete double standard. maadam wameamua hivyo lazima mjue kuwa huo utakatifu mbele ya siasa hauna nafasi.
SIASA NI MCHEZO MCHAFU
Kama ni kweli alifanya hayo kwa watumishi wa MUNGU aliye hai, basi Mstahiki Meya ni vyema autumie huu wakati wa neema , akumbuke ni wapi akoanguka , atubu na kuyarejea matendo ya Kwanza , Otherwise , hiyo laana itamwandama vizazi kadhaa..Sometimes tunapata shida na watu kumbe wana laana zao,hata kwa ndugu ukikuta mtu alisemewa neno na baba yake au mtumishi waga wanakuwa ni mzigo sana kwa familia sasa ndo ya huyu?Gaudence ni contractor mkubwa,hawezi kuwa safi kuwa hapo alipo na kung'ang'ania kubaki hapo,anawekwa hapo na wala rushwa wenzie ambao wanajua Arusha ikienda upinzani mengi yatafichuka na mapato yao yatakuwa mashakani,it is as simple as that.
Unajua kila mtu anahisia zake kwa kila jambo limpatalo sisi kama sisi binadamu hatuwezi kuhusha jambo hilo, mwenye kujibu laana Ni Mwenye enzi kuu, Sisi kama binadamu tunakutana matukio yasiyotazamiwa kila wakati (unexpeted occurence) ambazo siyo fate au laana inaezekana uzembe au kuvunja kanuni fulani kwa makusudi au bilakutazamia so tukiwa kama Great thikers lazima tuwe makini na hisia kama hizo.
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka Demokrasia YA Kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina Lyimo, Sam Mdee na Makeba.
Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa Kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za Mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa Kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .
Lyimo kashaingiza Arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina Makamba na Chatanda wakiwakebehi watu wa Mungu kupitia yeye.
Nawasilisha[/QUOT
Kama ni kweli yatawatokea puani. pamoja na hao polisi wanaotumika kuuwa wanadamu wenzao kama kuku.
habari za kiinteligensia kutoka ar zinasema lyimo meya wa ccm ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la walei parokia ya kijenge likongozwa na marehemu sam mdee, na mzee mwingine aitwae makeba waliwanyanyasa mapadre watawa kutoka demokrasia ya kongo kiasi cha kuwadhalilisha mbele za waumini . Mapdre hao waliondoka baada ya kushindwa kuvumila huku wakilia machozi na kusema sala zao zitawahusu akina lyimo, sam mdee na makeba.
Hata wachangiaji mkisema ni majungu au vipi shauri yenu. Waumini wa kijenge bila shaka ni mashahidi wa hili. Na sala za mafadha hao kweli zimejibu. Mdee alikabwa na mfupa wa kuku akafa two years ago. Makeba ni mgonjwa wa miguu kitandani mwaka wa pili hawezi kunyanyua mguu. Yuko kwenye wheel chair .
Lyimo kashaingiza arusha kwenye janga la mauaji. Na bado anang'ngania madaraka ya wizi huku wakuu zake akina makamba na chatanda wakiwakebehi watu wa mungu kupitia yeye.
Nawasilisha