Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haina usajili Tanzania wamepewa vipi? Si ndiyo hao hao wapo Airport pia?kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA imepewa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawezi fanya hadi apewe mkenya?
Penye rangi nyekundu ........una uhakika na hilo ?.kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA imepewa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawezi fanya hadi apewe mkenya?
kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA imepewa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawezi fanya hadi apewe mkenya?
kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA imepewa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawezi fanya hadi apewe mkenya?
Tena mtu anakuambia kabisa sitaki za tanzania nipatie ya kenya .Mbona watu mna chuki na Kenya hapa lakini kwenye colgate, blue band, panadol nk mnanunua wenyewe!?
Meya wa Ilala ni Ukawa?Ndio wanaokusanya airport pale na kwenye baadhi ya shopping malls ....wanafanya hivi bila kusajiliwa?
mshatoka kuchukua buku 7 naona mmevamia kufanya mashambulizi
kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA imepewa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawawezi fanya hadi apewe mkenya?