Uchaguzi 2020 Meya wa Zamani wa Temeke , Jerome Bwanausi ahamia ACT-Wazalendo

Uchaguzi 2020 Meya wa Zamani wa Temeke , Jerome Bwanausi ahamia ACT-Wazalendo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu hapa
_Nimemkabidhi kadi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Lulindi Wilayani Masasi Ndugu Je ( 776 X 640 ).jpg
 
Alikuwa mbunge wa Bunge lililomaliza muda wake kama sijakosea kupitia jimbo gani sijui kwenye mikoa ya kusini kati ya Mtwara au Lindi.
 
Alikuwa mbunge wa Bunge lililomaliza muda wake kama sijakosea kupitia jimbo gani sijui kwenye mikoa ya kusini kati ya Mtwara au Lindi.
Jimbo la Lulindi,Masasi,Mtwara.
 
Wewe mtu nilikupuuza sana tangu ulivyokuwa unahangaika na Nabii wako uchwara Wa Kilombero nikajua kweli Chadema kumejaa mazuzu, yaani hata akili kidogo tu kujua hilo Nabii tapeli mlishindwa sasa anawavua nguo tu
 
Wewe mtu nilikupuuza sana tangu ulivyokuwa unahangaika na Nabii wako uchwara Wa Kilombero nikajua kweli Chadema kumejaa mazuzu, yaani hata akili kidogo tu kujua hilo Nabii tapeli mlishindwa sasa anawavua nguo tu
Jikite kwenye mada
 
Act acha tu wavune wanachama maana wanamipango,sio wanyanyembe chadema wao ni malalamiko kilakukicha.
 
Jikite kwenye mada
Sasa nijadili upuuzi wa M-CCM kwenda Act, kazi yangu ni kukukumbusha kuwa siku nyingine usiwe unashupalia mambo bila kuyafanyia utafiti unaonekana na wewe ni bendera tu fuata upepo.
 
Back
Top Bottom