INAUZWA Meza na Kiti chake(Vya ofisi)

INAUZWA Meza na Kiti chake(Vya ofisi)

Jerusalem2006

Senior Member
Joined
Apr 19, 2020
Posts
143
Reaction score
626
Nauza meza na kiti vya ofisini, vimetumika mwezi mmoja tu. Nimevinunua jumla laki 5 na nusu.

Naviuza laki 3 tu sababu nina hama mkoa nimepata uhamisho wa kikazi, sifungui tena ofisi.

Kama una vihitaji nicheki Whatsapp au simu kawaida 0767891122. Vipo Kijitonyama.
IMG_20240829_143336_289.jpg
IMG_20240829_143245_837.jpg
 
Hiyo meza ungeipiga picha kwa mbele ionekane vizuri kama imefunikwa!?
 
Back
Top Bottom