Wadau hebu tujuzane
hivi hii meza ya juu ni nana anapaswa kukaa hapo katika shughuli
zifuatazo:
Ø Mahafari shule, chuo nk mara nyingi tunaona mgeni rasmi,wamiliki na
labda mkuu chuo/shule, wengine wote wahitimu, walimu na wazazi hukaa
huko kajamba nani! Nauliza tu, kwa nini wahitimu ndo wasiwekwe
hightable?
Ø Sherehe ka harusi, birthday, kipaimara nk mbona wazazi hawawekwi
hightable? Wanaokaa hapo ni wale wahusika wakuu wa shughuli hii
Karibuni kwa michango yenu
weekend njema!