Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jun 21, 2021 #1 Unaweza kutumia muembe au mfenesi ulio shambani kwako. Kumbuka kupanda miti miwili kabla hujakata mmoja.
Unaweza kutumia muembe au mfenesi ulio shambani kwako. Kumbuka kupanda miti miwili kabla hujakata mmoja.
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Jun 21, 2021 #2 Hii ndiyo unaambiwa, ^Alinunua Nyerere mpaka Always Happi anaitumia^ 🙂
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 Jun 21, 2021 #3 Hiyo inaitwa ..."anakalia kigogo yulee"...!😝😝😝😝
M Maikoel JF-Expert Member Joined Mar 9, 2019 Posts 1,039 Reaction score 1,584 Jun 22, 2021 #4 Yani unakula chakula chako kizuri kitamu halafu ukae kwenye magogo Kama unakunywa pombe za kienyeji!? Aaa waapi!!!
Yani unakula chakula chako kizuri kitamu halafu ukae kwenye magogo Kama unakunywa pombe za kienyeji!? Aaa waapi!!!
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jun 22, 2021 Thread starter #5 Maikoel said: Yani unakula chakula chako kizuri kitamu halafu ukae kwenye magogo Kama unakunywa pombe za kienyeji!? Aaa waapi!!! Click to expand... Haina gharama kubwa kama kutengeneza viti. Au unapenda kulia kwenye mkeka?
Maikoel said: Yani unakula chakula chako kizuri kitamu halafu ukae kwenye magogo Kama unakunywa pombe za kienyeji!? Aaa waapi!!! Click to expand... Haina gharama kubwa kama kutengeneza viti. Au unapenda kulia kwenye mkeka?
Kiporo kipya JF-Expert Member Joined Nov 30, 2017 Posts 399 Reaction score 381 Jun 22, 2021 #6 Hii meza kama yakwangu vile