Mfadhaiko

Red: Kwa hiyo unanithibitishia kwamba penye urembo kuna ujinga ndani yake?? I mean kila mwanamke anayeusaka urembo basi anajipeleka ujingani bila kupenda

Ndio maana nikasema baadhi ya kina dada haimaanishi wote.


ok. thanx
 
Hivi Mwana vp ukikumbana na jamaa wa mfadhaiko tena mbele kwenye mewata itakuwaje?
 
Wakulazimishwa nani?wewe msanii!!! hata kwa tingatiga haunishawishi wewe ni mzee wa kuji express your self hauwezi ngoja ulazimishwe mazee, uliikula hiyo kitu kwa ridhaa yako....LOFL!!!!

Binafsi kwa jinsi alivyo na maneno yake,msanii anaonekana ni mtu wa zantel tuu,uwa hataki zaidi.Angekuwa fidel,ningekubali.
 
Hivi Mwana vp ukikumbana na jamaa wa mfadhaiko tena mbele kwenye mewata itakuwaje?

. Mungu naomba apitishie mbali. Fidel haya mambo bwana si ya kuyafikiria hata. Muda si mrefu wahanga wataanza kuwa wanaume mara jibaba umepanga foleni ya Luku afu mwenzio anamalizia nyuma yako duh....
 
Wakinadada nao uwa wanapata sijui ndo tuuite mfadhaiko au nini.Naweza kukupa mfano,nilipokuwa chuo nilikuwa nakaa mabibo na sikuwa na tabia ya kukiexpose kifua changu hasa pakiwa pana mabinti,tukiwa wenyewe uwa ninajiachia tuu.Nikijua tuko wenyewe,siku hiyo nilikuwa kifua wazi.Kumbe kuna binti tulikuwa tukisoma nae alikuwa amekuja chumba cha jirani,nikawa nimeenda katika chumba hicho nikagonga.Yeye ndo alikuwa mlangoni,si ndo kuniona kifua wazi,alipoteza kama sekunde ishirini hivi kisha akaanza kujifaraagua.Hapo ndipo nilipogundua kumbe nao uwa wanapatwa na mshtuko wakiziona baadhi ya sehemu za mwili za mwanaume.
 
Ni nature kuwa wanawake (karibuni wote) wameumbwa kujipenda - kujirembesha miili yao - of course inapokuwa extreme ndio mbaya - ukiacha mambo ya kumeza dawa ku-umua mwili au kufanya operations za kubadili jinsia - ila wanawake wanatengeneza nywele, wanapaka make-ups etc. na wanaume pia wanashave, wanakata nywele different styles etc. - hiyo ni normal - ndio maana Binadamu ni tofauti na mnyama - PIA WANADAMU SAA INGINE WANAKUWA HAWARIDHIKI - NDIO MAANA MVUA IKINYESHA WANATAKA JUA - JUA LIKIWAKA WANATAKA MVUA - BARIDI/JOTO ETC. NA hivyo weusi wanataka weupe - weupe nao wanataka brown - wanakaa kwenye jua ngozi ziwe brown - ili mradi tu toka enzi za Adamu ni mahangaiko ya mwanadamu - Kama Mungu amekujali kukupa moyo wa KIASI katika kila jambo - MSHUKURU MUNGU SANA
 
. Mungu naomba apitishie mbali. Fidel haya mambo bwana si ya kuyafikiria hata. Muda si mrefu wahanga wataanza kuwa wanaume mara jibaba umepanga foleni ya Luku afu mwenzio anamalizia nyuma yako duh....

hahahaha kama umejaliwa nyuma lazima watu wanakulia timing usipande daladala uwe unakodi bajaj tu mpaka nyumbani maana unaweza ukashangaa unarudi home mzee anakuta gauni au sketi imelowa duh hata kuelewa hata umueleweshe vp na akiona vitu vinateleza unarudi kwenu na mfuko wa rambo.
 
Yeye ndo alikuwa mlangoni,si ndo kuniona kifua wazi,alipoteza kama sekunde ishirini hivi kisha akaanza kujifaraagua

Mkuu nini kiliendelea hukumpindua jamaa au hakukutafuta?
 

....... Na hasa kama hana ustaarabu wa kuelewa yeye akiona hayo hatakubali kuwa ni masaibu yamekukumba awezauliza 'kwa nini ufanyiwe wewe ina maana daladala zima mwanamke ulikuwa peke yako?' duh kaaaazi kwerikweri.
 
Mkuu nini kiliendelea hukumpindua jamaa au hakukutafuta?

Mh Fidel hupitwi weye? wataka kujua yaliyotokea nyuma ya pazia ah!! mwenzio ndo maana akaishia hapo ambapo ni haki yako kujua lol
 
Binafsi kwa jinsi alivyo na maneno yake,msanii anaonekana ni mtu wa zantel tuu,uwa hataki zaidi.Angekuwa fidel,ningekubali.

...Mnaniteta vibaya wakuu.
mimi sipendi migongo labda mwanamke anilazimishe saaaana. Dira yangu inapiga mbele tu. Labda mhusika aishike na kuiingiza ktk kapu la mbolea.
 
Mwanajamii unaposema Thanx inamaana umekubali majaribio???
nibip nitakutwangia walah
 
FIDEL
hawa watwana wanakuonamtulivu wakati sooote hapa tukisikia harufu ya mboji tunajua mzee wa mbolea umeingia jamvini.
 
Mwanajamii unaposema Thanx inamaana umekubali majaribio???
nibip nitakutwangia walah

Yalhwaaa ina maana sikusoma post yako hadi mwisho? umetoa hiyo ofa?

Hapana mkuu duh umenipata kweli. Nway aksante sana kwa ofa mheshimiwa hayo ni makubwa sana kwangu.
 
FIDEL
hawa watwana wanakuonamtulivu wakati sooote hapa tukisikia harufu ya mboji tunajua mzee wa mbolea umeingia jamvini.

Hahahaha umeniacha hoi mi ni mzee wa kule kuleeeeeeee kama kawa unajipendelea tu na umoto umoto wa kule mzee usipime.
 
Hivi makalio yetu yanawazingua nini zaidi?

Hayo bwana we acha tu mi nikiona tu hata mapigo ya moyo iwa yanaenda kwa kusua sua napata hata taaabu kupumua haswaa lile linalo tepeta mmmh safi sana kwa TG.maana linakuwa lainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Hivi makalio yetu yanawazingua nini zaidi?

Shost hebu waulize watujuze haikawii mtu kukuvua nguo pasipo we kujua. Watembea barabarani kumbe jitu linakukodolea macho wesereee lako huku likiwaza mambo ya faragha ah. Wana mana hawa? (Joke)
 
Shost hebu waulize watujuze haikawii mtu kukuvua nguo pasipo we kujua. Watembea barabarani kumbe jitu linakukodolea macho wesereee lako huku likiwaza mambo ya faragha ah. Wana mana hawa? (Joke)

...mara nyingine nakuwaga na vipindi virefu bafuni (vya kutafakari) kila nionapo MKIA ulionona walah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…