Makaayamawe
JF-Expert Member
- Feb 21, 2009
- 341
- 9
wewe ndio unajua leo tunaye...Raisi wetu inaelekea yuko busy kweli kweli. Hapa anashughulikia sera ya kugawa pikipiki. Natumaini walemavu wote nchini watapewa angalau pikipiki moja-moja. Kweli tunaye rais.
PRESIDENT Jakaya Kikwete (third right) chats with a woman with a physical disability, Sara Mageni Sanga (sitting down), of Lupalilo village in Makete District, Iringa Region, after presenting her with a Bajaj auto rickshaw today to facilitate her movement. Looking on, second right, is the Iringa Regional Commissioner, Mr Mohamed Abdulaziz. (Photo by Freddy Maro).
"Inavyoelekea huyu mama hana uwezo wa kununua petrol" WEWE WASEMA. Kwa kigezo gani unamuhukumu? Au ni huo udhaifu wake? Nakusihi umuombe radhi huyo mama tafadhali.Sawa Mkulu kamfadhili huyo mama hiyo Bajaj; Je amemfanyia mpango wa kupata mafuta ya hiyo Bajaj? Inavyoelekea huyu mama hana uwezo wa kumudu kununua petrol ya hiyo bajaj kwa hiyo pengine ile ya miguu mitatu ya kusukuma kwa mikono ingemfaa zaidi!! Just thinking aloud.
Raisi wetu inaelekea yuko busy kweli kweli. Hapa anashughulikia sera ya kugawa pikipiki. Natumaini walemavu wote nchini watapewa angalau pikipiki moja-moja. Kweli tunaye rais.
PRESIDENT Jakaya Kikwete (third right) chats with a woman with a physical disability, Sara Mageni Sanga (sitting down), of Lupalilo village in Makete District, Iringa Region, after presenting her with a Bajaj auto rickshaw today to facilitate her movement. Looking on, second right, is the Iringa Regional Commissioner, Mr Mohamed Abdulaziz. (Photo by Freddy Maro).
"Inavyoelekea huyu mama hana uwezo wa kununua petrol" WEWE WASEMA. Kwa kigezo gani unamuhukumu? Au ni huo udhaifu wake? Nakusihi umuombe radhi huyo mama tafadhali.
Raisi wetu inaelekea yuko busy kweli kweli. Hapa anashughulikia sera ya kugawa pikipiki. Natumaini walemavu wote nchini watapewa angalau pikipiki moja-moja. Kweli tunaye rais.
PRESIDENT Jakaya Kikwete (third right) chats with a woman with a physical disability, Sara Mageni Sanga (sitting down), of Lupalilo village in Makete District, Iringa Region, after presenting her with a Bajaj auto rickshaw today to facilitate her movement. Looking on, second right, is the Iringa Regional Commissioner, Mr Mohamed Abdulaziz. (Photo by Freddy Maro).
yaani huyu hana habari kabisa kuwa huku nyumba inaongua na maamuzi yake ya IPTL..daaah tutajuta kumfahamu huyu
kama ana uwezo mbona alisubiri miaka yote akijivuta chini mpaka apewe ya bure? Kwa simple mind lazima ujue tu kwamba hana hela na mafuta itamwia shida tu."Inavyoelekea huyu mama hana uwezo wa kununua petrol" WEWE WASEMA. Kwa kigezo gani unamuhukumu? Au ni huo udhaifu wake? Nakusihi umuombe radhi huyo mama tafadhali.