We ni kubwa jinga. Acha kutetea upumbafu. Kuna siku mambo yatakuwa kama Somalia. Watu wanaendelea kufura,kuvimba na kujaa upepo. Kama wataendelea kuminywa kunasiku watalipuka. Kama Polisi wameshindwa kuwahoji walinzi wa makazi ya Naibu Spika na Mawaziri wengine iko siku kuna WATU WASIOJULIKANA WATAINGIA NA GARI LILILOJAA MABOMU ENEO LA BUNGE na kitakahofuata ni kilio na msiba wa nchi nzima. Wewe si ulitaka kuua mmoja. wenzako watalipua jengo zima hivo watakaokufa ni wote WANAOJULIKANA na WASIOJULIKANA. Acheni upumbafu bhana...!!!