Mfahamu Afande Sele

Sababu za kumdaka ni nin..coz kama ni kumtukana Mungu wake,hilo wamuachie Mungu mwenyewe watamalizana?
Itakua issue za kiusalama maana mtaani wanaweza kufanya chochote juu yake
 
Kamtukana Mungu anakamatwa na polisi, kwani huyo Mungu mwenyewe yuko wapi? Wanambeza mwehu, kumbe na wao ni malofa.
 

Duuuh sijaona historia yake na sugu hapa.
 
Kwa sababu za kiafande mkuu
Nakumbuka aliwahi simulia kwenye moja ya interview zake jina lilianzia shule ya msingi tatzo mm nae kichwa panzi sikumbuki vzr sijui alikuwa kiranja wa ulinzi sijui alikuwa na cheo gani ndipo wanafunzi wenzie wakampa jina la afande kutokana na harakati zake
 
Dah kumbe afande kweli
 
Hivi Kigulunyembe ni shule ya msingi? Maana jamaa amesoma hapo na kina Prof J.
Secondary, shule ya kanisa kubwa, wamesoma pale, wasanii wengi tu, na marehemu mama tunda alikuwa madarasan ya chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…