Mfahamu aliyetunga wimbo wa taifa wa Tanzania

Mfahamu aliyetunga wimbo wa taifa wa Tanzania

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Wimbo wa taifa wa Tanzania "Mungu ibariki Afrika" ulibuniwa na mtunzi kutoka Afrika Kusini Enoch Sontonga.

Wimbo huu asili yake ni wimbo Nkosi Sikelel’i Afrika aliotunga mwaka 1897.

Tafsiri ya jina hilo kwa kiswahili ni Mungu ibariki Afrika.

Ni wimbo maarufu zaidi Afrika ukitumika pia katika harakati za ukombozi kwa Baadhi ya nchi za Afrika.

Maneno ya wimbo huo pia yanatumika kwenye nyimbo za taifa kwa nchi za Afrika Kusini,Zambia na Zimbabwe

Sontonga alizaliwa mwaka 1873 na kufariki 18/04/1905.
1721458073577.jpg
 
Back
Top Bottom