πππ Ngoja Niongeze nyama nyamaUwe unaongeza nyama basi kwenye simulizi/makala zako.... historia haitoshi
Alizaliwa wapi,elimu yake ikoje, watoto wake, aliingiaje kwenye siasa, hayo mapinduzi aliyafanyaje, harakati zake.
1962 alifungwa, 1972 akasamehewa 2000 akafariki haitoshi mzee baba
Ukiipandisha hiyo story usisahau kunitag mkuusawa mkuu ngoja niandae nondo
Historia yake full ipo jikoni soon itakuwa mezani.Hujamuelezea vya kutosha yaani km Cv ya house girl alizaliwa kijijini hapa akaenda town akafanya kazi akafa.Eeeenh huyu Bibie unaweza mwandikia kitabu kizima
Nakumbuka kabla ya kifo chake alifanyiwa mahojiano na chombo kimoja cha habari juu ya historia yake. Alieleza mengi isipokuwa maisha yake alipokuwa jela na mkasa wa kutaka kupindua serikali ya Nyerere.Historia yake full ipo jikoni soon itakuwa mezani.
Tukae mkao wa kujiandaa
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]hakika kabisa
Ulikua mchepuko wa Mwalimu,,chanzo Cha kutaka kupindua serikali wivu wa kimapenzi unatajwa..kutolewa kwake ,na kupewa heshima ya barabara to be named after her name yote yanaingia humo..Uwe unaongeza nyama basi kwenye simulizi/makala zako.... historia haitoshi
Alizaliwa wapi,elimu yake ikoje, watoto wake, aliingiaje kwenye siasa, hayo mapinduzi aliyafanyaje, harakati zake.
1962 alifungwa, 1972 akasamehewa 2000 akafariki haitoshi mzee baba
Duh kumbe mwalimu nae hakuwa nyuma kwenye mapenziUlikua mchepuko wa Mwalimu,,chanzo Cha kutaka kupindua serikali wivu wa kimapenzi unatajwa..kutolewa kwake ,na kupewa heshima ya barabara to be named after her name yote yanaingia humo..
Wanaume wote wenye hekima dunia hii ni wakware!Anza na king David,Solomon,Bill Clinton,Bob Marley, diamond platnumz(kidding). na wengine uwajuao...Huwezi kuongoza vizuri kama unajidai mgumu utaishia kuwa gaidi tu!'Kazi na dawa!'Duh kumbe mwalimu nae hakuwa nyuma kwenye mapenzi