Mfahamu Bibi. Titi Mohamed na issue ya kutaka kuipindua serikali

πŸ™πŸ™πŸ™ Ngoja Niongeze nyama nyama
 
Hujamuelezea vya kutosha yaani km Cv ya house girl alizaliwa kijijini hapa akaenda town akafanya kazi akafa.Eeeenh huyu Bibie unaweza mwandikia kitabu kizima
 
Hujamuelezea vya kutosha yaani km Cv ya house girl alizaliwa kijijini hapa akaenda town akafanya kazi akafa.Eeeenh huyu Bibie unaweza mwandikia kitabu kizima
Historia yake full ipo jikoni soon itakuwa mezani.
Tukae mkao wa kujiandaa
 
Nimesoma na kurdia rudia mara kadhaa ili nielewe hasa nini mantiki ya hu UZI; hakika hadi sasa bado sijaelewa. Anyway, nadhani ni mpango wa Mungu mimi kutokueelewa hu uzi
 
Historia yake full ipo jikoni soon itakuwa mezani.
Tukae mkao wa kujiandaa
Nakumbuka kabla ya kifo chake alifanyiwa mahojiano na chombo kimoja cha habari juu ya historia yake. Alieleza mengi isipokuwa maisha yake alipokuwa jela na mkasa wa kutaka kupindua serikali ya Nyerere.
 
Ulikua mchepuko wa Mwalimu,,chanzo Cha kutaka kupindua serikali wivu wa kimapenzi unatajwa..kutolewa kwake ,na kupewa heshima ya barabara to be named after her name yote yanaingia humo..
 
Ulikua mchepuko wa Mwalimu,,chanzo Cha kutaka kupindua serikali wivu wa kimapenzi unatajwa..kutolewa kwake ,na kupewa heshima ya barabara to be named after her name yote yanaingia humo..
Duh kumbe mwalimu nae hakuwa nyuma kwenye mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…