Mfahamu Bibi. Titi Mohamed na issue ya kutaka kuipindua serikali

Wanaume wote wenye hekima dunia hii ni wakware!Anza na king David,Solomon,Bill Clinton,Bob Marley, diamond platnumz(kidding). na wengine uwajuao...Huwezi kuongoza vizuri kama unajidai mgumu utaishia kuwa gaidi tu!'Kazi na dawa!'
πŸ™πŸ™πŸ™ Kweli mkuu kazi na dawa
 
Asante.
Lakini umekosa kapicha?
Basi tumia hizi...









 
Ahaaa nimeamua kuweka avatar ya banned ili wafurahi zaidi wamenipiga ban mbili ndani ya mwezi mmoja
Ndy maana nilishanga kitu kimoja Kuna Uzi mmoja ulichangia alafu Mimi nilikuwa active muda huo..nikasema huyu jamaa mbn naona kapigwa ban lkn anareply km kawaida? Nikakosa majibu
 
Ndy maana nilishanga kitu kimoja Kuna Uzi mmoja ulichangia alafu Mimi nilikuwa active muda huo..nikasema huyu jamaa mbn naona kapigwa ban lkn anareply km kawaida? Nikakosa majibu
Ahaa bila shaka ungekuwa udukuzi uliotukuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…