NGolo Kante
Member
- Feb 28, 2017
- 80
- 131
Alikua ni raia wa Marekani alizaliwa 18/5/1889 nchini Marekani. Alizaliwa akiwa na miguu mitatu na yote ilikua inafanya kazi alizaliwa akiwa na sehemu za siri za kiume mbili (2)
Shemu za siri za Kiume mbili na zote zilikua zinafanya kazi na alikua na jumla ya vidole kumi na sita (16) na alikufa na ugonjwa wa mapafu huko Florida Marekani tarehe 21/9/1966 akiwa na miaka 78.
Shemu za siri za Kiume mbili na zote zilikua zinafanya kazi na alikua na jumla ya vidole kumi na sita (16) na alikufa na ugonjwa wa mapafu huko Florida Marekani tarehe 21/9/1966 akiwa na miaka 78.
Source: Mkomonisti Wa Twita